.......... Nape... Nape..... Nape ! kama anakiri kwamba EL sio msafi.. pengine anao ushahidi wa kuthibitisha hayo..........
Kama Nape anasema wazi wazi kuwa Lowassa sio msafi, inakuwaje vikao vya chama chao vinampitisha mtu mchafu wakati wao wenyewe kwa kupitia kwa Nape huyo huyo walisema chama chao kwa kupitia vikao vyao watahakikisha kuwa wale wote wanaotuhumiwa kwa ufisadi wasingepitishwa majina yao kugombea? Leo hii watuhumiwa wa ufisadi Chenge na Lowassa wote wawili wamechaguliwa kuwa wajumbe wa Nec; kwa mtindo huu kitu gani kitamzuia Lowassa kugombea kuteuliwa kuwa mgombea wa urais kupitia CCM?