Recent content by Technian Tanga

  1. Technian Tanga

    Pre entry course kwa Arusha Technical

    Sisi tuliotoka Veta ambao tunataka kujoin Diploma ATC tunapita acces course ya NVA bringing course wenye level three/Grade one watafanya Bringing ya kujiunga NTA level 5 yani mwaka wa pili while wa NVA two/Grade two watafanya bringing au access ya NTA level 4 ,je kuna wenzagu umu wata join 3 may...
  2. Technian Tanga

    Nani haswa anapaswa kuitwa na kutambuliwa kama "Genius"?

    Edi ni kanjanja tu wala hana lolote alikuwa business man wali invert workers wake ila aka patent yeye
  3. Technian Tanga

    Teknolojia ya kumfufua binadamu aliyekufa...

    Naona ujinga wako uko square ya hawa wachangiaji
  4. Technian Tanga

    Tupanue maarifa kuhusu Satellite

    Internet yenyewe ni zao la uwepo wa Satellite. Nafikiri concept yako haipo clearly weka swali kwa kiswahili au tumia clear language
  5. Technian Tanga

    Choo cha Stendi Moshi wanaiba Umeme

    Unaelewa Tanesco wanakatia wapi umeme katika hizi meter za convertion? Yani meter zisizo Za luku Labda nikujuze huwa wanachomoa cut out au wapande juu kudisconect phase ktk Guzo lakini mara nyingi ni kutoa cut out ..Hivo uionayo hapo hata kama ni Tanesco wame bypass ni kosa kabisa na lazima...
  6. Technian Tanga

    Choo cha Stendi Moshi wanaiba Umeme

    Hapo mawili pawe na wizi au lah labda nichimbe kidogo hio situation ili kuweka clear mambo..Hio board unayoona hapo ni kwa ajili ya cut out na inakuwa baada ya mita .yani meter then cut out then circuit breaker ya consumer hapo kuna mawili inaweza kuwa tanesco walikata umeme then walipokuja...
  7. Technian Tanga

    Mjue Bloody Mary: Mzimu unaoweza kutokea iwapo ukimuita mara tatu kwenye kioo

    Bila shaka ww ni atheist, Nitashangaa mjukuu wa mkwawa ukimsifia Yesu au Mtume watu ambao huna kabisa Undugu nao kivyoyote
  8. Technian Tanga

    Albert alimaanisha nini hapa?

    "When the solution is simple, God is answering." Hii ni Quotes ya Best kabisa Theoretical physcist A.Eistean ww unaitafisiri vipi
  9. Technian Tanga

    Wasioamini katika uchawi na ushirikina wana hoja lakini...

    Uchawi unaweza kuwepo hayo ni maarifa akili ya binadamu ni infinity katika uvumbuzi wa mambo hilo swala la uchawi halijawa open na proved ila haina maana kuwa haupo
  10. Technian Tanga

    Kuna tofauti ipi kati ya PCB na CBG

    kakaze tu upige distinction mana ushindani ni mkubwa sana
  11. Technian Tanga

    Lowassa ang'aka * Ni kuhusu kunyang'anya mlinzi wake

    Uelewe kuna CCM na serikali .Ccm ni ya kwao wa ccm ile serikali ni ya wote na huu ushabiki wa kijinga wa vyama baada ya uchaguzi una faida gani?
  12. Technian Tanga

    Mwenye Whatsapp pita apa

    Nahitaji whatsplus mkuu ..Gb ninayo latest tu
  13. Technian Tanga

    Msaada Tutani

    Mkuu inshu nimesha solve tayari ilikuwa tarehe haiko correct... Thanks for your advice
Back
Top Bottom