Public Enemy
JF-Expert Member
- Aug 18, 2011
- 3,062
- 3,620
Ushoooooo chaliii ni nini mbona unakiraru?????? Yesuuuuuuuuu
Ushoooooo chaliii ni nini mbona unakiraru?????? Yesuuuuuuuuu
Acha wivu mnafiki ww
Tanesco huwa mara nyingine wakikukatia umeme wanachomoa fuse tu bila kukata ways so hapo wanajihudimia wenyewe , ,,, hii njia ilikua maarufu kipindi hiko katika mita zisizo za luku unaconnect kuanzia jioni asubuhi unachomoa jumapili ni free asubuhi mpaka asubuhi!
Hahaha, umenikumbusha mbali. Saa 12 asububi tunadisconnect, saa 12 jioni tunaconnect, jpili full time umeme upoTanesco huwa mara nyingine wakikukatia umeme wanachomoa fuse tu bila kukata ways so hapo wanajihudimia wenyewe , ,,, hii njia ilikua maarufu kipindi hiko katika mita zisizo za luku unaconnect kuanzia jioni asubuhi unachomoa jumapili ni free asubuhi mpaka asubuhi!
KAMA NI HIVYO BASI MITA LAZIMA ISOME
Ha..haaa huyu Ni mhindi WA Bagamoyo hakamatiki
Ndiyo. Lengo halikuwa mita isisome. Ilikuwa inatokea pale ambapo TANESCO wanasitisha huduma ya umeme kutokana na deni kubwa. Unakuta labda mpangaji kaingia kwenye nyumba inadaiwa bill kubwa bila yeye kujua.KAMA NI HIVYO BASI MITA LAZIMA ISOME
Ndiyo. Lengo halikuwa mita isisome. Ilikuwa inatokea pale ambapo TANESCO wanasitisha huduma ya umeme kutokana na deni kubwa. Unakuta labda mpangaji kaingia kwenye nyumba inadaiwa bill kubwa bila yeye kujua.KAMA NI HIVYO BASI MITA LAZIMA ISOME
Mkuu hongera wewe ni mzalendo sana...!
Tuko pamoja mkuu#TechnianTanga umefafanua vizuri sana!
Unaelewa Tanesco wanakatia wapi umeme katika hizi meter za convertion? Yani meter zisizo Za luku Labda nikujuze huwa wanachomoa cut out au wapande juu kudisconect phase ktk Guzo lakini mara nyingi ni kutoa cut out ..Hivo uionayo hapo hata kama ni Tanesco wame bypass ni kosa kabisa na lazima hatua zichukuliwe kwa mteja kwa kuona miundo mbinu yake ya umeme iko ovyo na huku akiendelea kutumia.Tuachane short cut hapo ikitokea short circuit moto utatembea na line yoteHamna wizi wowote hapo zaidi ni Ushamba wa Mtoa post..... mambo usiyoyajua acha kukurupuka.... hiyo picha haioneshi wizi wowote zaidi ni kosa la kiufundi ambali ni usalama wa umeme pale itakapotokea Short chombo cha usalama hakipo hivyo inaweza sababisha madhara...
Waziri wa Mambo ya Ndani alikataza kuwapa kesi za kubabimbia watu kesi za uongo. Mshitaki mtu kwa kosa alilolitenda