Recent content by tbetram

  1. T

    Warioba: CCM ijiandae kuwa chama cha Upinzani

    Mtoa hoja amesema kweli. ccm wenyewe wanajua wazi kwamba hiki ndio kipindi chao cha mwisho kutawala. Ndio maana utaona kuwa majority ya mipango ya ccm(kudidimiza uchumi, ufisadi) inaishia 2015
  2. T

    Warioba: CCM ijiandae kuwa chama cha Upinzani

    betlehem usione shida, tamka tu - Mrithi wa ccm 2015 ni CDM, usiwe na kigugumizi!! !!
  3. T

    Mh. Joseph Mbilinyi hadi sasa umetufanyia nini Mbeya mjini?

    Hao katika list hawatachaguliwa ubunge 2015 endapo watagombea kupitia ccm. Kama watagombea kupitia CHADEMA watapata ubunge kwani majority ya watanzania kwa sasa wana imani kuwa CHADEMA ndicho chama kitakachowakomboa baada ya ccm kushindwa. Majority ya watanzania wameshaamka. Hawadanganyiki tena...
  4. T

    Hivi mtu anayeipenda CCM anakuwa na Akili ya namna gani?

    Hakuna wa kudanganywa hapa na hayo maelezo yako. Mambo yako wazi kwamba JK na CCM waliiba kura ili kushinda uchaguzi wa urais 2010. Uelewe kwamba wanaongoza hii nchi sio kwa ridhaa ya watanzania bali ni kwa wizi wa kura. Washukuru busara za Dr. Slaa. Otherwise TZ ingegeuka uwanja wa vita baada...
  5. T

    Dk Slaa asema Mufti hakufanya utafiti

    Pengo ni mwoga, vuguvugu, sio moto wala sio baridi. haonyeshi kama ana support CCM wala CDM. Peoples power haijengwi na watu vuguvugu.
  6. T

    Mwanasiasa gani Tanzania mwenye mvuto namna hii?

    Hata sisiemu wakiulizwa watasema Dr. Slaa ndiye mwanasiasa mwenye mvuto zaidi wa karne hii
  7. T

    CDM sasa ni wakati wa oparesheni dagaa

    Wewe Bigjahman, Huenda baba yako either ni fisadi au mjumbe wa nyumba kumi wa sisiemu ndio maana bado una wasupport. Good news; mmebaki wachache sana. Nguvu ya umma (majority of Tanzanian) itawang'oa possibly kabla ya 2015
  8. T

    Chadema wampa Kikwete 'siku tisa'

    Tanzania hakuna serikali bali siri kali.
  9. T

    Jitolee: Jenga CHADEMA Morogoro

    Napenda kushare na wewe namna ambavyo mimi na wanachama wenzangu wa CDM waishio wilaya ya Temeke-DSM. Katika kata yetu tunafanya vikao mara mbili kwa mwezi. Kikao kinachukua wastani wa masaa 2. Katika kila mkutano huwa unapita mchango wa hiari kwa ajiri ya kuimarisha chama. Maazimio yetu makubwa...
  10. T

    Hizi gharama za mawaziri kuishi hotelini zitalipwa na nani?

    Hali hii haiwezi kuvumilika. Matokeo ya uchaguzi ya 2010 yalionyesha watu wengi waishio mijini walipigia kura vyama vya upinzani. I believe watu walioandama na kuwaondoa madarakani marais wa Misri na Tunisia ni wakazi wa mijini. Hivyo hata katika Tanzania watu waishio mijini wanaweza kufanikiwa...
  11. T

    CHADEMA yakubali yaishe! yamtambua Rais, yampongeza Rais

    Jemedari Dr. Slaa alikuwa muungwana sana baada ya kuchakachuliwa kura za uraisi. Alitulia. Peoples power tulikuwa tunasubiri Jemedari apulize kipenga, watu waingie mtaani kama Tunisia na Misri. Bahati yao. Warudie tena kuchakachua kura zetu 2015 waone kama nchi itakalika
  12. T

    CHADEMA kumbe hotuba ya JK mliipenda, mlitokea nini sasa bungeni ?

    Brain yako inadhihirisha wazi kuwa wewe ni mmoja wa wale waliopewa fulana na kofia za kijani wakati wa kampeni za kile chama kinachopoteza umaarufu kwa kasi zaidi. Chukua hatua. Jiunge na peoples power!
  13. T

    misemo ya vijana wa kileo bwana.,

    Hata ukinawa huli
  14. T

    ni salama kwa wanaharakati kutumia modem za vodafone?

    Currently the safe way ni kutumia internet cafe. Ambapo mmiliki wa internet cafe ndiye anaweza kutambulika na sio wateja
Back
Top Bottom