zaratustra
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 848
- 223
Laki si pesa, kanga moko!
Mwanaume pesa ndevu hata mbuzi anazo
mwanamke sura,shepu hata kwa mchina ipo
Wasi wasi kama vile wewe ndo mbuzi wa shughuli.....tuliza boli bana.
Chapa lapa!
kisu mzigo silaha pesa
maskini hafulii
mwanaume pesa ndevu hata mbuzi anazo
njaa kustahimili, starehe gharama!
Maskini halali mchana!
Pombe ni pombe tatizo kuyumba
cheza na mshahara usicheze na kazi
mwanamke sura, mwanaume shughuli
kiume pesa kudinda ugonjwa!hata ukioga,harusini huendi
mtoto akililia wembe, ujue vuzi limeshaota !
Pumbu si mzigo.
ukiona manyoya kaliwa!
Utamu wa pipi mate yako mwenyewe