Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
Ni kweli heshima ya Tanzania na JK inawezekana iko juu lakini unalinganisha na rais yupi na Tanzania ya mwaka upi...heshima ya Tanzania ya mwaka 1990 ni sawa na ya sasa...? heshima ya Kikwete ya Mwaka 2005 ni sawa na ya sasaNguvu ya umma ilikuwa uchaguzi uliopita, ambapo aliyependwa na wananchi ndio amepewa ridhaa ya kuwaongoza watanzania. Sifa ya Tanzania na Rais JK nje ni kubwa kuliko ujuavyo. Ww hujiulizi kuna marais zaidi ya 54 Africa, kwa nn wachaguliwe 6 tu na JK yumo ? hapo ndipo utajua jamaa ni mashine nyingine kuliko fikra zako