Jitolee: Jenga CHADEMA Morogoro

Tuko

JF-Expert Member
Jul 29, 2010
11,178
7,319
Kwanza naomba radhi kwa Mods na members wote kwani najua JF haina itikadi ya kisiasa. Kama mjuavyo kuwa CHADEMA katika mikoa kadhaa ya Tz, Moro ikiwepo, bado inajitahidi katika kukubaliwa zaidi. Nawaomba wanachama, wafuasi na wapenda maendeleo wote mkoani hapa na Tz nzima watakaoguswa kujitolea, wajitolee katika kusaidia juhudi za CDM hapa Moro.Kwa sasa ipo mipango kazi miwili ambayo inahitaji michango ya kimawazo, kiushauri na kifedha. Nawaomba watakaoguswa kujitolea katika haya watembelee ofisi za chama mkoa pale mjini au kwa maelezo zaidi wanitumie private message.
 
Nashukuru kwa wale waliosapoti na waliorespond. Naendelea kuwahamasisha wengine please.
 
Napenda kushare na wewe namna ambavyo mimi na wanachama wenzangu wa CDM waishio wilaya ya Temeke-DSM. Katika kata yetu tunafanya vikao mara mbili kwa mwezi. Kikao kinachukua wastani wa masaa 2. Katika kila mkutano huwa unapita mchango wa hiari kwa ajiri ya kuimarisha chama. Maazimio yetu makubwa ni kuimarisha chama, kufungua matawi mengi ndani ya kata na mipango ya kuwa na ofisi za kuendeshea shughuri za kichama. Tuna mpango wa kuwaita viongozi wa chama wa kitaifa siku za usoni watembelee kata yetu kwa ajri ya kuyafungua rasmi matawi na kuwapa kadi wanachama wapya
 
Mkuu nafikiri kwanza ni uratibu ambao naona unahitajika hapa...... JF inaweza kuwa forum ya michango km hivi, ila ofisi angalau kwa kuanzia..... kwani Moro aliegombea ubunge kupitia CDM hakuwa na ofisi? Inaweza kuwa chachu ya michango mingine zaidi.....
 
Kwanza naomba radhi kwa Mods na members wote kwani najua JF haina itikadi ya kisiasa. Kama mjuavyo kuwa CHADEMA katika mikoa kadhaa ya Tz, Moro ikiwepo, bado inajitahidi katika kukubaliwa zaidi. Nawaomba wanachama, wafuasi na wapenda maendeleo wote mkoani hapa na Tz nzima watakaoguswa kujitolea, wajitolee katika kusaidia juhudi za CDM hapa Moro.Kwa sasa ipo mipango kazi miwili ambayo inahitaji michango ya kimawazo, kiushauri na kifedha. Nawaomba watakaoguswa kujitolea katika haya watembelee ofisi za chama mkoa pale mjini au kwa maelezo zaidi wanitumie private message.

Mjini kubwa, au unamaanisha nini? Tuambie mtaa na jengo zilipo ofisi
 
Kwanza naomba radhi kwa Mods na members wote kwani najua JF haina itikadi ya kisiasa. Kama mjuavyo kuwa CHADEMA katika mikoa kadhaa ya Tz, Moro ikiwepo, bado inajitahidi katika kukubaliwa zaidi. Nawaomba wanachama, wafuasi na wapenda maendeleo wote mkoani hapa na Tz nzima watakaoguswa kujitolea, wajitolee katika kusaidia juhudi za CDM hapa Moro.Kwa sasa ipo mipango kazi miwili ambayo inahitaji michango ya kimawazo, kiushauri na kifedha. Nawaomba watakaoguswa kujitolea katika haya watembelee ofisi za chama mkoa pale mjini au kwa maelezo zaidi wanitumie private message.

big up mkuu!
 
Kwanza naomba radhi kwa Mods na members wote kwani najua JF haina itikadi ya kisiasa. Kama mjuavyo kuwa CHADEMA katika mikoa kadhaa ya Tz, Moro ikiwepo, bado inajitahidi katika kukubaliwa zaidi. Nawaomba wanachama, wafuasi na wapenda maendeleo wote mkoani hapa na Tz nzima watakaoguswa kujitolea, wajitolee katika kusaidia juhudi za CDM hapa Moro.Kwa sasa ipo mipango kazi miwili ambayo inahitaji michango ya kimawazo, kiushauri na kifedha. Nawaomba watakaoguswa kujitolea katika haya watembelee ofisi za chama mkoa pale mjini au kwa maelezo zaidi wanitumie private message.

Mkuu kuna watu wanajitahidi sana ila wanakosa sapoti. Lakini nadhani umeliona hilo na umeshaanza kulichukulia hatua. Kuna jamaa anaitwa Matokeo Owden aligombea jimbo la Mvomero mwaka 2005 na alimchachafya sana Sadik Murad lakini alishindwa kwa sababu alikosa sapoti hasa ya kifedha.

Mwaka 2010 aligombea tena na alikaribia kabisa kumshinda Makalla wa ccm, ilinishangaza sana kusikia ameshindwa na Makalla, kwani jimbo karibu lote safari hii lilikuwa linamkubali. Nilikuja kugundua kuwa alikosa sapoti ya kiuchumi ambayo ingemwezesha kulinda kura.

Wabunge wa chadema walioshinda uchaguzi 2010 ni wengi sana. Waliotangazwa kushinda ni wale ambao Nguvu ya Umma Ililinda Kura Zao. Tujiandae kwa 2015.
 
Mkuu nafikiri kwanza ni uratibu ambao naona unahitajika hapa...... JF inaweza kuwa forum ya michango km hivi, ila ofisi angalau kwa kuanzia..... kwani Moro aliegombea ubunge kupitia CDM hakuwa na ofisi? Inaweza kuwa chachu ya michango mingine zaidi.....

CHADEMA ina ofisi tayari Mkuu, pale mtaa wa Ngoto.
 
Mkuu kuna watu wanajitahidi sana ila wanakosa sapoti. Lakini nadhani umeliona hilo na umeshaanza kulichukulia hatua. Kuna jamaa anaitwa Matokeo Owden aligombea jimbo la Mvomero mwaka 2005 na alimchachafya sana Sadik Murad lakini alishindwa kwa sababu alikosa sapoti hasa ya kifedha.

Mwaka 2010 aligombea tena na alikaribia kabisa kumshinda Makalla wa ccm, ilinishangaza sana kusikia ameshindwa na Makalla, kwani jimbo karibu lote safari hii lilikuwa linamkubali. Nilikuja kugundua kuwa alikosa sapoti ya kiuchumi ambayo ingemwezesha kulinda kura.

Wabunge wa chadema walioshinda uchaguzi 2010 ni wengi sana. Waliotangazwa kushinda ni wale ambao Nguvu ya Umma Ililinda Kura Zao. Tujiandae kwa 2015.

umemsahau kijana machachari na kamanda wa ukweli,mwanasheria aliyemnyima usingizi fisadi abood,namzunguzia kijana Amani Mwaipaja,angekuwa na sapot ya kiuchumi angefika mbali,Morogoro inapaswa kuamka sasa
 
Back
Top Bottom