Dk Slaa asema Mufti hakufanya utafiti

Dk Slaa asema Mufti hakufanya utafiti

Hakuna kundi nchi hii ila kuna watanzania, na huyu mtu mmoja anatoa thread mbili zenye topic moja tumueleweje? ni uchangu au? mkitaka kumjuwa huyu kama ni changu ushaidi ni huu hapa.

  • user-online.png
    muhadhiri


    icon1.png
    Chadema ni wabinafsi , wabaguzi- waislam

    Kila hali inavyozidi kuendelea mapambano ya waislam dhidi ya chadema yanazidi kuongezeka. Jana kulikuwa na kongamano kubwa mjini arusha la waislam kupinga mfumo kiristo wanaodai upo nchini.
    katika kongamano hilo na makongamano mengine yanayoendelea ambayo yanarushwa moja kwa moja kupitia redio zao wanakituhumu moja kwa moja Chadema kwamba ni wabinafsi na kinatumikia mfumo huo.wamesema kama kweli chadema inatetea maslahi ya watz kwanini hadi leo haijahoji wakiristo kupewa billion 600 2011 na gov huku madhehebu mengine yakinyimwa?jee huo sio ubinafsi?lakini pia mmoja ya wahubiri alimnukuu mbunge mmoja wa mwanza wa chadema akiapa kwamba shule ya zamani ya kiislam ya mwanza haitarudi kwa waislam jambo ambalo waislam wameliona linazidisha uadui kati ya chadema na waislam
    na katika maazimio yao wamesema endapo chadema itajaribu kuandaa maandamano arusha basi na waislam wataandama kujibu mapigo wakati huohuo.
    kwa hali hii chadema inaelekea upande gani wa nchi? kwani hata Kigoma tumesikia wananchi wamesema chadema ikiandama nao watajibu mapigo.
    lkn kila siku zikienda tuhuma hizi zinazidi, kwani viongozi wakuu wa kiislam hutumia redio zao kuhamasishana kuigopa chadema. kwa mtazamo wa kawaida utaona haina athari kwa chadema, lkn ukweli uliowazi unawjengea picha mbaya kwa jamii ya kiislam.
    hii kama viongozi wakuu wa CHADEMA wataona hakitayumbisha chama naamini wanakosea, kwani tayari makongamano yao yanapokelewa na idadi kubwa ya waumini wao ambao wanamchango mkubwa kisiasa
    Chadema ifanyeje kukinusuru chama na tuhuma hizi za udini?

  • icon1.png
    Re: Chadema ni wabinafsi , wabaguzi- waislam

    quote_icon.png
    Originally Posted by muhadhiri
    nadhani imefika wakati viongozi wakuu wa chadema kujipanga, kuangalia jinsi ya kukaa na waislam kuzungumza nao, vyenginevyo chama kinaelea kufa



    Kuna baadhi ya watu wananunuliwa na CCM kwa bei che sana ili tu waongee kuhusu Chadema na wapitie kwenye kivuli cha dini ili alilosema mkubwa wao la udini lionekane kweli lipo!!!
Mkuu.
Mtendee haki mtoa mada.
Ushauri wake ni mzuri. CHADEMA kuufanyia kazi ni chaguo lao.
Mimi sioni uchangu katika hizi post mbili.
Post moja ni ushauri na nyengine ni ripoti ya mkutano waliofanya Waislamu.

Hata unaposoma mchango wake ambao nimeweka rangi nyekundu basi una maudhui na hii mada ya Ushauri wangu kwa Dr.Slaa.......

Jaribu kuzipitia tena na ukiona ulikosea basi muombe radhi mleta mada. ndio uungwana na pia kujenga mazingira ya mijadala ya tija. Hata kama hukubaliani na mitizamo ya mleta mada lakini kwa huu ushauri aliotoa kwa maoni yangu ni ushauri mzuri tu.
 
Na wakifuata ushauri huu wako ndio watakuwa wameuwasha moto kwani iko wazi kabisa kuwa viongozi wa CHADEMA ni vibaraka wa viongozi wa dini ya ukatoliki, na ndio wao wanaotoa kauli zao na zinapitishwa vinywani kwa kina Slaa na wenzake, na kwenye uchaguzi mkuu makanisa yamedhihirisha hilo wazi kabisa

Geni una maana kumbe CDM wanaposema maisha magumu kumbe wanatudanganya!du na EPA,GREEN DEEP,IPTL,Mikataba mibovu,wizi wa ajabu unaofanywa na watu wasio wazarendo,richmond na mengine mengi yoote ni maaskofu wanawatuma maana sisi wananchi hatuna akili yakuona,na wale ndugu zako wanaopewa Elimu duni je? kumbe ni uongo wa maaskofu! sikujua kwakweli na kama ningejua ningemchukia sana slaa kwa kutudanganya,lakini sisi huku kwetu tunaona ni kweli maana maisha tumechapika Dr njoo kwetu Mbeya sisi bado sana maisha mabaya kwa wenzetu ambao mambo yao mazuri msiende waacheni maana wana heri wao ila sisi hatukubali tunahitaji haki yetu.

Na pia hapa sisi swala la dini si hoja,hatuna mamtatizo kabisa wanaopigania udini wenzetu wameshiba hao mambo yao mazuri huenda na watakuwa wanapata elimu bora na wanafaidika na ufisadi pengine na kwakweli hawapendi nasi tupate kidogo! tumhurumieni basi na sisi akina Gini jamani.
 
Nadhani si kazi ya viongozi wa Chama chenu bali nyinyi wanachama kwenye chama hicho muwaelimishe wanajamii kwani mnakokaa ndiko kuna waislam na wakristo na dini zingine waelezeni nao wataelewa . kwani daima watanzania tuna ndoto hipo siku tuwe na vyama VIwili vyenye nguvu katika taifa letu yani CCM na CHADEMA na vingine vife. na kati ya Chadema na CCM basi vitawale kwa kuangushana katika kila Chaguzi sio kimoja kitawale daima au CCM ife . tunataka Chadema imara na CCM imara na safi si ya mafisadi
 
[/LIST]

Mkuu.
Mtendee haki mtoa mada.
Ushauri wake ni mzuri. CHADEMA kuufanyia kazi ni chaguo lao.
Mimi sioni uchangu katika hizi post mbili.
Post moja ni ushauri na nyengine ni ripoti ya mkutano waliofanya Waislamu.

Ni haki gani unayotaka nimtendee wakati ushahidi nimeuweka hapo kwamba huyu mtu ana malengo mabaya na hizi post zake, haingii akilini kitu kimoja ukianzishie threade mbili, kama unaamini hilo basi wewe una zaidi ya tatizo, yaani ni bora ya mtoa mada kuliko wewe. zero brain.
 
Najua mtatukana na kutumia maneno mazito ya kila aina. But let me say it again.

"Hakuna chama kitakacho ungozwa na Sheikh, Padri, Mchungaji, Askofu kitachukua madaraka ya nchi hii", Be carefully guys.

Inauma hii! Lakini ndio ukweli
 
Hakuna haja ya kujificha, hakuna haja kuogopa kivuli, hakuna haja ya kukimbia hoja. DR SLAA alichokifanya ni sahihi kabisa, na huo ni ushahidi kwamba uongozi wa chadema hauna itikadi za kidini ndio maana hata baada ya kijibiwa mbwa koko wote wanaotumwa kuongea pumba hakuna aliyeleta mdomo wake tena sababu wanaju Mwanaume ameamua kujibu hoja hakuna wa kushindana nae.
 
Na wakifuata ushauri huu wako ndio watakuwa wameuwasha moto kwani iko wazi kabisa kuwa viongozi wa CHADEMA ni vibaraka wa viongozi wa dini ya ukatoliki, na ndio wao wanaotoa kauli zao na zinapitishwa vinywani kwa kina Slaa na wenzake, na kwenye uchaguzi mkuu makanisa yamedhihirisha hilo wazi kabisa

Jambo linalonishangaza ni kuwa kwa nini hao waislamu wasijibu hoja za CDM moja baada ya nyingine badala ya kusema juu juu kwamba CDM wametumwa na Wakatoliki? Kama wakatoliki wanawatuma CDM kupiga kelele dhidi ya ufisadi nchini, waislamu wanasemaje, tuache mafisadi waendelee kutafuna rasilimali za nchi? kama Wakatoliki wamewatuma CDM kusema serikali iangalie mfumuko wa bei na jinsi unavyowaumiza wananchi, je Waislamu wanasemaje tuache tu mambo yaende kama yalivyo? mimi sielewi waislamu wana agenda gani. Hivi kweli hawa ni wazalendo? JAMANI CCM IMETUGAWA KWA MISINGI YA DINI NA SISI TUMEKUBALI. HIZI NI MBINU ZA ADUI.

Watanzania tuungane sote bila kujali dini zetu, tupiganie ustawi wa Tanzania na watu wake.
 
ninawaunga mkono CHADEMA MIA MOJA NA KWA USHAURI ULIOTOLEWA
 
Kichefuchefu hicho.Hawa waislamu saa zote ni kulalamika tu.Hata kwenye siasa ni kulalamaaaa weee.Sijui wafanyweje.Walianznisha chama chao chawaislamu(CUF) hawakuweza ku ki promote kwa kuwa muda mwingi wanacheza bao na hawataki shida ndo maana wakaamua kujiunga na CCM na kuwa CCM-B, sasa wanahofu na CDM.Enyi maimamu kazaneni na mjitahidi vya kutosha ili mkomboke acheni majungu na viredio vyenu uchwara.
 
Mkuu.
Mtendee haki mtoa mada.
Mimi sioni uchangu katika hizi post mbili.
Post moja ni ushauri na nyengine ni ripoti ya mkutano waliofanya Waislamu.

Ni haki gani unayotaka nimtendee wakati ushahidi nimeuweka hapo kwamba huyu mtu ana malengo mabaya na hizi post zake, haingii akilini kitu kimoja ukianzishie threade mbili, kama unaamini hilo basi wewe una zaidi ya tatizo, yaani ni bora ya mtoa mada kuliko wewe. zero brain.
Mkuu.
Na huyu utamwitaje?
Hivi karibuni Sheikh Mkuu alitoa kauli ya kuwataka waislam wasishiriki maandamano yanayoandaliwa na Chadema. Baada ya siku moja Katibu mkuu wa Chadema Dr. Slaa akajibu kwa kusema Sheikh Mkuu hakufanya utafiti. Kauli ya Slaa ni sahihi lakini haikustahili kutolewa na kiongozi kama yeye katika kipindi hiki ambacho kuna tension kubwa ya udini na mikakati ya makusudi ikifanyika kukihusisha chama hicho na mambo hayo. Slaa kwa kufanya hivyo anataka kukiingiza Chadema na yeye binafsi kwenye mtego wa malumbano ya kidini kitu ambacho kitawanufaisha wapinzani wao CCM. Naishauri Chadema kuwa waangalifu sana na mitego ya aina hiyo na ikiwezekana baadhi ya majibu au matamko yawe yanatolewa na viongozi wa chini kama wenyeviti wa mikoa au viongozi wa jumuia za chama kama BAVICHA ili iwe rahisi kukihami chama endapo kutakuwa na utata kutokana na kauli iliyotolewa. Chadema isione aibu kujifunza kutoka CCM kwa kutoa matamko kupitia jumuia zao kama UVCCM viongozi wa juu wanapotakiwa kuthibitisha husema 'hayo ni maoni yao' hata kama ndio msimamo wa chama. Naomba kuwasilisha.
Na huyu je? Mkuu saigon utampa sifa ipi?
Kulingana na kesi inayowakabili viongozi wengi na wabunge wa CHADEMA, kule Arusha ni busara kuanza kujiandaa. Wajiandae kwa matokeo ya aina zote; moja ni endapo watashinda kesi na pili ni endapo watashindwa kesi.

Ushauri wangu ni endapo watashindwa, manake pale kutakuwepo na vifungo! Chama kijiandae na hiyo scinario ya pili ili kisijekushutukizwa. Kitendo cha kuongeza idadi ya mashitaka ni kuonyesha nia ya serikali katika hiyo kesi!

Nawakilisha!
 
Mkuu naheshimu mawazo yako, lakini mtu yeyote anaesimamia ukweli hawezi kuhofia kusema ukweli eti kisa awaridhishe akina Mufti, mimi nakupinga kwa 500% Dr Slaa ni PHD holder na anajuwa nini maana ya sekretarieti, ndio maana akasema mufti akufanya utafiti, kama angefanya utafiti angejuwa CHADEMA inasimamia nini, lakini mimi binafsi nashindwa kumlaumu mufti kwa sababu mufti elimu yake ni darasa la saba kwa hiyo hawezi kuwa na upeo mkubwa wa kuelewa mambo ya administration ya nchi.



Huu ndio ujinga ninao upinga kila siku. Hapo kwenye red unataka watu waamini kama Slaa ana PH D ya kawaida! Ya kwake ni ya magumashi aliyoipata akiwa na certificate tu.A chane ujinga! Kwa JCD hawezi kuwa mchambuzi kama unavyotaka! Labda kunywesha watu divai anajua cannon zake

+++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++
EDUCATION
International Eye H. Centre Certificate in Eye Health 1993-1993

TransWorld Tutorial College, London Certificate in Management 1985-1985

St. Thomas Aquinas University Advanced Diploma in Rural Development 1980-1981

St. Urban University, Rome PhD (JCD) Law 1977-1981 [Doctor of Canon Law (Latin: Juris Canonici Doctor or JCD)]

++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++
 
Ni haki gani unayotaka nimtendee wakati ushahidi nimeuweka hapo kwamba huyu mtu ana malengo mabaya na hizi post zake, haingii akilini kitu kimoja ukianzishie threade mbili, kama unaamini hilo basi wewe una zaidi ya tatizo, yaani ni bora ya mtoa mada kuliko wewe. zero brain.

Nilipoona huu mchango wako wa chini ,sishangai na lugha yako...ni tamu sana.


Al madrasat al rasul,mshauri na Kikwete aongee na maaskofu kwani nao wakristo wanakiona CCM ni kama chama cha kigaidi, mwenyekiti KIKWETE ni mwislamu na katibu mkuu Yusuf Makamba ni mwislamu, peleka hizi salamu huko kwa M.K.W.E.L.E
 
Hivi karibuni Sheikh Mkuu alitoa kauli ya kuwataka waislam wasishiriki maandamano yanayoandaliwa na Chadema. Baada ya siku moja Katibu mkuu wa Chadema Dr. Slaa akajibu kwa kusema Sheikh Mkuu hakufanya utafiti. Kauli ya Slaa ni sahihi lakini haikustahili kutolewa na kiongozi kama yeye katika kipindi hiki ambacho kuna tension kubwa ya udini na mikakati ya makusudi ikifanyika kukihusisha chama hicho na mambo hayo. Slaa kwa kufanya hivyo anataka kukiingiza Chadema na yeye binafsi kwenye mtego wa malumbano ya kidini kitu ambacho kitawanufaisha wapinzani wao CCM. Naishauri Chadema kuwa waangalifu sana na mitego ya aina hiyo na ikiwezekana baadhi ya majibu au matamko yawe yanatolewa na viongozi wa chini kama wenyeviti wa mikoa au viongozi wa jumuia za chama kama BAVICHA ili iwe rahisi kukihami chama endapo kutakuwa na utata kutokana na kauli iliyotolewa. Chadema isione aibu kujifunza kutoka CCM kwa kutoa matamko kupitia jumuia zao kama UVCCM viongozi wa juu wanapotakiwa kuthibitisha husema 'hayo ni maoni yao' hata kama ndio msimamo wa chama. Naomba kuwasilisha.


Waislamu wana chakujibiwa kwa makini?? wanamtukana Nyerere itakuwa Slaa? au Chadema?...busara hiyo hawana ...sasa tuone nilini kitatokea chama watuambie hiki ndiyo sahihi!!....wao imewauma sana CUF kufa kwani ndiyo kilikuwa chama chao.....
Acha magugu na ngano viote pamoja wakati wamavuno magugu yatapepetwa nakutupwamotoni.......
 
Hivi karibuni Sheikh Mkuu alitoa kauli ya kuwataka waislam wasishiriki maandamano yanayoandaliwa na Chadema. Baada ya siku moja Katibu mkuu wa Chadema Dr. Slaa akajibu kwa kusema Sheikh Mkuu hakufanya utafiti. Kauli ya Slaa ni sahihi lakini haikustahili kutolewa na kiongozi kama yeye katika kipindi hiki ambacho kuna tension kubwa ya udini na mikakati ya makusudi ikifanyika kukihusisha chama hicho na mambo hayo. Slaa kwa kufanya hivyo anataka kukiingiza Chadema na yeye binafsi kwenye mtego wa malumbano ya kidini kitu ambacho kitawanufaisha wapinzani wao CCM. Naishauri Chadema kuwa waangalifu sana na mitego ya aina hiyo na ikiwezekana baadhi ya majibu au matamko yawe yanatolewa na viongozi wa chini kama wenyeviti wa mikoa au viongozi wa jumuia za chama kama BAVICHA ili iwe rahisi kukihami chama endapo kutakuwa na utata kutokana na kauli iliyotolewa. Chadema isione aibu kujifunza kutoka CCM kwa kutoa matamko kupitia jumuia zao kama UVCCM viongozi wa juu wanapotakiwa kuthibitisha husema 'hayo ni maoni yao' hata kama ndio msimamo wa chama. Naomba kuwasilisha.

Welcome to the world! that is politics now

Mkiendelea hivi CDM will not be just a normal political party , it ( she ) will be a Unique and Fabulous Political Party; the land of democracy and equality...where every member's dream will be fullfilled accordingly.

Big up!
 
Ni vyema kuwapuuza ila ni muhimu kutafuta namna ya kudhoofisha hoja zao potofu ambazo wamekuwa wakizitoa kwa wanannchi.Hao wanatumiwa na mafisadi wa kisiasa ili kulinda maslahi yao, na ni dhahiri kwamba kikundi hicho kinataka kuigawa nchi kwa misingi ya kidini.
 
Nadhani imefika wakati kukaa na viongozi wa dini ya kiislam kuwasikiliza kwanini chadema imekuwa kero kwao? kwanini kila kukicha Chadema imekuwa ikisemwa vibaya na viongozi wa dini hiyo. inawezekana hamusikii kwa kuwa hayatolewi ktk vyombo vya habari visivyo vya dini. lkn kila kukicha tuhuma za waumini wa kiislam inashika kasi, kila pembe ya tz .
hii kama taachwa iendelee na kutokaa nao meza kuangalia sorce au kutumia vyombo vyao vya habari kuwasiliana nao itaathiri kwa kiasi kikubwa mustkabali wa chadema kisiasa. Inawezekana wanatumiwa kisiasa na wapinzani wa chadema, lkn ni wazi chadema kama chama kinachotaka kujaribu kujikosha ktk jamii ya kitanzania hakuna budi kutafuta njia mbadala ya kuondoa dhana hii. njia pekee ni kukaa na viongozi hao, kuwasikiliza malalamiko yao na pengine kaungalia nini source: au kutumia redio zao kuwaeleza uzuri wa chadema kwao na kuwaondoshea wasiwasi watz hao

kabla sijasema chochote nimeona kwanza nibishe hodi maana mimi nimgeni ndani ya Jf.mnikaribishe kwanza mabibi kwa mabwana.
 
Mkuu naheshimu mawazo yako, lakini mtu yeyote anaesimamia ukweli hawezi kuhofia kusema ukweli eti kisa awaridhishe akina Mufti, mimi nakupinga kwa 500% Dr Slaa ni PHD holder na anajuwa nini maana ya sekretarieti, ndio maana akasema mufti akufanya utafiti, kama angefanya utafiti angejuwa CHADEMA inasimamia nini, lakini mimi binafsi nashindwa kumlaumu mufti kwa sababu mufti elimu yake ni darasa la saba kwa hiyo hawezi kuwa na upeo mkubwa wa kuelewa mambo ya administration ya nchi.

Huu ndio ujinga ninao upinga kila siku. Hapo kwenye red unataka watu waamini kama Slaa ana PH D ya kawaida! Ya kwake ni ya magumashi aliyoipata akiwa na certificate tu.A chane ujinga! Kwa JCD hawezi kuwa mchambuzi kama unavyotaka! Labda kunywesha watu divai anajua cannon zake

+++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++
EDUCATION
International Eye H. Centre Certificate in Eye Health 1993-1993

TransWorld Tutorial College, London Certificate in Management 1985-1985

St. Thomas Aquinas University Advanced Diploma in Rural Development 1980-1981

St. Urban University, Rome PhD (JCD) Law 1977-1981 [Doctor of Canon Law (Latin: Juris Canonici Doctor or JCD)]

++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++
 
Waislamu wana chakujibiwa kwa makini?? wanamtukana Nyerere itakuwa Slaa? au Chadema?...busara hiyo hawana ...sasa tuone nilini kitatokea chama watuambie hiki ndiyo sahihi!!....wao imewauma sana CUF kufa kwani ndiyo kilikuwa chama chao.....
Acha magugu na ngano viote pamoja wakati wamavuno magugu yatapepetwa nakutupwamotoni.......

Kweli unachosema, kwa nature ya wakristo, kwanza hawana muda wa kujibizana na ni easy taker. kwa sababu tunaujua udhaifu wao, then INAHITAJIKA AKILI kudeal nao, nadhani mtoa hoja amesimamia hapo. Failure to do that mwisho wa siku chama ndio kina loose! na our ultimate goal siyo KUONGEA NI KUIONDOA CCM madarakani. Ni ushauri mzuri na hatutaki CDM ipotee hivi hivi. Siasa ni mchezo mchafu na usitarajie CCM kusifia CDM!!!
 
Back
Top Bottom