Hivi mtu anayeipenda CCM anakuwa na Akili ya namna gani?

Wenyewe wanajua hawapendwi ndo maana wanatumia nguvu kubwa sana kwenye mauchaguzi...maana kama umeshika dola kwa miaka 50 tungetarajia watu/wananchi wangekuelewa sana..wala usingetumia nguvu,,,ila kwa kuwa wamejinufaisha wenyewe hakuna mwenye hamu nao..hakuna mtu anaweza kuvaa nguo ya ccm akajisikia fahari kutembea nayo..imegeuka sare ya kulia ubwabwa tu baada ya hapo unavua
 
Wenyewe wanajua hawapendwi ndo maana wanatumia nguvu kubwa sana kwenye mauchaguzi...maana kama umeshika dola kwa miaka 50 tungetarajia watu/wananchi wangekuelewa sana..wala usingetumia nguvu,,,ila kwa kuwa wamejinufaisha wenyewe hakuna mwenye hamu nao..hakuna mtu anaweza kuvaa nguo ya ccm akajisikia fahari kutembea nayo..imegeuka sare ya kulia ubwabwa tu baada ya hapo unavua

Mungu yupo na days are countable.
 
anayenufaika na ccm ataipenda, lakini ambae ni hohehahe halafu anaipenda ccm yani mtu huyo ni maiti inayotembea.
kwani yule aliyechomewa kibanda cha matope igunga kwa kuishadadia ccm alikuwa ananufaika na nini? Hakuna cha manufaa ni majinga tu, huna nyumba, maisha magumu aheri ya omba omba bado unaitukuza ccm kwa zile fedha za lunch 3000/= wakati wa kampeni?????????
 
Aaa hilo jibu rahisi BABA WA TAIFA alisema AWE NA AKILI KAMA MWENDAWAZIMU manake mwendawazimu ndo hajui shida manake ni nini
 
''...Tukuyu leo nimesikia watoto 400 wa shule ya serikali wanatumia choo tundu moja, Aarumeru watu wanatembea KM 4 kufuata maji,Miaka hamsini nchi haijitoshelezi kwa chochote, pamoja na rasilimali zote lakini nchi ni ombaomba,foleni kila kukicha zinaongezeka maana serikali ya CCM imelala kazi kulimbikiziana mavyeo na kujiongezea maposho...kama mtu anaipenda CCM na serikali yake lazima akapimwe akili si mzima...'' alisikika mmoja wa abiria ndani ya usafiri wa umma leo.
 
''...Tukuyu leo nimesikia watoto 400 wa shule ya serikali wanatumia choo tundu moja, Aarumeru watu wanatembea KM 4 kufuata maji,Miaka hamsini nchi haijitoshelezi kwa chochote, pamoja na rasilimali zote lakini nchi ni ombaomba,foleni kila kukicha zinaongezeka maana serikali ya CCM imelala kazi kulimbikiziana mavyeo na kujiongezea maposho...kama mtu anaipenda CCM na serikali yake lazima akapimwe akili si mzima...'' alisikika mmoja wa abiria ndani ya usafiri wa umma leo.

Mkuu wewe ndio una matatizo ya kufikiri.
Umeingia katika mkumbo usioujua na wala hujui hatma yake.
Ungeuliza hao watoto 400 wanaotumia choo kimoja huko Tukuyu..... ni wa CCM?
Na huko Arumeru watu wanao tembea Km 4, wana akili kweli kwa nini wasihamie karibu na hiyo source?
Hebu tuambie nchi haijitoshelezi kwa kipi, au unaongea kitu cha kuambiwa tu!

Kwa ujumla unaonyesha hasira kwa vile, kama hao omba omba unangojea cha kuletewa nyumbani, uzae watoto, mle na mshibe , alhamdulilahi!!

Zama hizo zimeisha pitwa na wakati , kafanye kazi uwalishe wanao hakuna cha bure siku hizi, zaa mitoto mingi at your own risk, wataishia kuwa omba omba, vibaka n.k.
 
Huitaji kwenda kuwapima akili, muulize Masaburi atakwambia ulipo ubongo wao!
 
ok, hivi kama mtu akisema mtu kama CDM lazima awe mwehu itakuwa amekosea????
mana huwezi kujaribu kutia mkono kwenye moto, na kwa kawaida chadema ni moto na ni mwendawazimu pekee anaeweza kutia mkono kwenye moto mana hajui madhara yake.
ni vyema basi mtoe ulinganisho wa nini CCM imefanya kwa miaka hiyo mnayoisema na uwepo wa chadema na nini imefanya hata kwenye majimbo yake na baadhi ya halmashauri inayoziongoza tokea imeanza kuingia kwenye uongozi wa seriikali.
vyenginevyo nadhani sio busara wala uungwana pamoja na upenzi kuingilia uhuru na mapenzi ya mwengine ikwa ni pamoja na kukashifu cham cha mwengine.
mimi nadhani pamoja na mapungufu ,ila yako mengi mno ccm imefanya na mengi inafanya katika kutekeleza ahadi zake ilizozitoa, ila kwa kuwa tumeamuwa kuwa vipofu na tunapenda kusema yale tuyapendayo na siyo mambo halisi yalivyo, basi ni vyema kila mwan jf asifie chake lakini tusijenge tabia ya kukashifu cha wengine,
waliokichaguwa ccm ni wa Tanzania kwama sisi na wanazo sababu zao za msingi kwanini wamekichaguwa chama chao kuongoz Dola. sasa mmoja anapoamka na kuwadhalilisha wengine kwa sababu tu yeye anadhani ana haki ya kufanya hivyo, hili ni tatizo kubwa na halileti taswira nzuri na linaashiria udhaifu wetu kwenye kwenye uhuru wa kufikiria na kuamua lipi bora mtu alipende.
ushauri wangu kwa wana jf ni kuangalia na kuheshimu uhuru wa watu wengine, huku tukijuwa kwamba kila mtu amepewa haki ya kuchaguwa na kuamua alipendalo, sio busara haya yanayoendelea hasa kwa chama cha CDM ambacho ni dhahiri sasa kimeamua kupeleka mashambulizi kwa wana ccm, KWA UONO WANGU MDOGO HILI HALINA MWISHO MWEMA. hivyo ni vyema tukajujenga utaratibu wa kuvumiliana na kusheshimiana, kwani uhuru wa kupenda na kuamua ni wa kila mtanzania, hakuna mwenye haki zaidi kuliko mwengine na hakuna nguvu kubwa zaidi ya waliopigia kura ili kuamua chama kipio kituongoze kwa kipindi fulani.
hivyo ni busara basi pamoja na kukichukia chama fulani, ni vyema tukavumilia na tukasuburi muda utapofika wa kufanya tathmini na kuelewa nini chama kilichopo madarakani kimefanya, hasa katika kutathmini utekelezaji wa ahadi zake, na kwa kufikia hapo ndio tunaweza kuamua na kwa winig wetu na kwa njia ya kura ni chama kipi kinaweza kuiongoza Tanzania kwa kipindi kingine cha miaka mitano ijayo, ila haya yetu ya sasa nik kujidhalilisha na kuonesha ni jinsi gani ambavyo siasa ya uvumilivu inaendelea kutushinda na maana yake mwisho wake sio mzuri. tujenge na kuendleeza tabia ya uvumilivu na tujenge tabia ya kuwapa waliopewa dhamana ya kuongoza nchi kwa kipindi hicho wakamilishe ahgadi zao, halafu waje kwetu kutuomba ridhaa nyengine kwa yale waliyoyafanya na tuone kama wanastahili au tufanye maamuzi mengine. na si zaidi ya hapo.
 
Wehu nyie,hao watoto mnawazaa wahudumiwe na chama?tatizo ujamaa bado unatusumbua sana.watu wanataka kuletewa kila kitu.
 
Mkuu wewe ndio una matatizo ya kufikiri.
Umeingia katika mkumbo usioujua na wala hujui hatma yake.
Ungeuliza hao watoto 400 wanaotumia choo kimoja huko Tukuyu..... ni wa CCM?
Na huko Arumeru watu wanao tembea Km 4, wana akili kweli kwa nini wasihamie karibu na hiyo source?
Hebu tuambie nchi haijitoshelezi kwa kipi, au unaongea kitu cha kuambiwa tu!

Kwa ujumla unaonyesha hasira kwa vile, kama hao omba omba unangojea cha kuletewa nyumbani, uzae watoto, mle na mshibe , alhamdulilahi!!

Zama hizo zimeisha pitwa na wakati , kafanye kazi uwalishe wanao hakuna cha bure siku hizi, zaa mitoto mingi at your own risk, wataishia kuwa omba omba, vibaka n.k.
NASHANGAA MTU MZIMA HUJUI HATA MAANA YA QUOTATION!!!!, Inamaana hujaona hayo maneno nime ya quote??HUKU NI KWA GREAT THINKERS; HAPAKUFAI!!!
 
''...Tukuyu leo nimesikia watoto 400 wa shule ya serikali wanatumia choo tundu moja, Aarumeru watu wanatembea KM 4 kufuata maji,Miaka hamsini nchi haijitoshelezi kwa chochote, pamoja na rasilimali zote lakini nchi ni ombaomba,foleni kila kukicha zinaongezeka maana serikali ya CCM imelala kazi kulimbikiziana mavyeo na kujiongezea maposho...kama mtu anaipenda CCM na serikali yake lazima akapimwe akili si mzima...'' alisikika mmoja wa abiria ndani ya usafiri wa umma leo.

Mkuu,
Hofu yangu ni kwamba huenda hamna abiria yeyote ambae aliyasema hayo bali ni maoni yako kwamba aipendae CCM anapaswa kupimwa akili! Na hata kama ni kauli toka kwa mtu mwingine, bado hupaswi kuishabikia kiasi cha kuwaona Ushauri wangu ni kwamba, haya mambo ya siasa wewe huyawezi hata chembe na katu usipende kutoa kauli kama hizo manake unaweza kukuta unamtusi hadi mama yako mzazi au baba yako!! Hivi unataka kuniambia familia yako yote (african extended family) ni wapenzi na wafuasi wa upinzani?! Je, wale ambao sio ambao sina shaka waoi; nao wakapimwe akili?! Ni ushauri tu.....ukitaka kuyaelewa haya niyasemayo jribu siku moja ukiwa umekaa na ndugu zako utamke bayana kwamba "anayeipenda CCM anapaswa kupimwa akili...!"

 
kuna wengine hawafai kuwa Great thinkers kwa maana wana kurupuka ku comment. Hivi kwa akili ya 1+1 huwezi jua uongozi uliopo madarakani ni mbovu? (CCM ilikufa na Nyerere). Na siku zote mabadiliko huleta maendeleo. Ukisema watu wa Arumeru wahamie karibu na maji hujui kuwa watarudi km4 kutafuta huduma muhimu za shule na zahanati???
 
Mkuu wewe ndio una matatizo ya kufikiri.
Umeingia katika mkumbo usioujua na wala hujui hatma yake.
Ungeuliza hao watoto 400 wanaotumia choo kimoja huko Tukuyu..... ni wa CCM?
Na huko Arumeru watu wanao tembea Km 4, wana akili kweli kwa nini wasihamie karibu na hiyo source?
Hebu tuambie nchi haijitoshelezi kwa kipi, au unaongea kitu cha kuambiwa tu!

Kwa ujumla unaonyesha hasira kwa vile, kama hao omba omba unangojea cha kuletewa nyumbani, uzae wato, mle na mshibe , alhamh ubinafsi ndio unaotuponza wabongo.wewe ukishakua nakauwezo kakuacha vijisimbi nyumbani unaona basi maisha ushayapatia kumbe hujui impact ya walio nacho na wasionacho,dont us ur personal gift for only you.just thing also to help others.unapoambia ukosefu wa ajira ni bomu linalotaka kupasuka wakati wowote pia ufikirie uwiano wa kipato na maisha ya mtu mmojammoj.hiyo tofauti ikiwa kubwa wewe na wanao na wengine wenye mawazo mgando kama yako hamtokua salama.fikiria kwa mapana zaidi
 
ok, hivi kama mtu akisema mtu kama CDM lazima awe mwehu itakuwa amekosea????
mana huwezi kujaribu kutia mkono kwenye moto, na kwa kawaida chadema ni moto na ni mwendawazimu pekee anaeweza kutia mkono kwenye moto mana hajui madhara yake.
ni vyema basi mtoe ulinganisho wa nini CCM imefanya kwa miaka hiyo mnayoisema na uwepo wa chadema na nini imefanya hata kwenye majimbo yake na baadhi ya halmashauri inayoziongoza tokea imeanza kuingia kwenye uongozi wa seriikali.
vyenginevyo nadhani sio busara wala uungwana pamoja na upenzi kuingilia uhuru na mapenzi ya mwengine ikwa ni pamoja na kukashifu cham cha mwengine.
mimi nadhani pamoja na mapungufu ,ila yako mengi mno ccm imefanya na mengi inafanya katika kutekeleza ahadi zake ilizozitoa, ila kwa kuwa tumeamuwa kuwa vipofu na tunapenda kusema yale tuyapendayo na siyo mambo halisi yalivyo, basi ni vyema kila mwan jf asifie chake lakini tusijenge tabia ya kukashifu cha wengine,
waliokichaguwa ccm ni wa Tanzania kwama sisi na wanazo sababu zao za msingi kwanini wamekichaguwa chama chao kuongoz Dola. sasa mmoja anapoamka na kuwadhalilisha wengine kwa sababu tu yeye anadhani ana haki ya kufanya hivyo, hili ni tatizo kubwa na halileti taswira nzuri na linaashiria udhaifu wetu kwenye kwenye uhuru wa kufikiria na kuamua lipi bora mtu alipende.
ushauri wangu kwa wana jf ni kuangalia na kuheshimu uhuru wa watu wengine, huku tukijuwa kwamba kila mtu amepewa haki ya kuchaguwa na kuamua alipendalo, sio busara haya yanayoendelea hasa kwa chama cha CDM ambacho ni dhahiri sasa kimeamua kupeleka mashambulizi kwa wana ccm, KWA UONO WANGU MDOGO HILI HALINA MWISHO MWEMA. hivyo ni vyema tukajujenga utaratibu wa kuvumiliana na kusheshimiana, kwani uhuru wa kupenda na kuamua ni wa kila mtanzania, hakuna mwenye haki zaidi kuliko mwengine na hakuna nguvu kubwa zaidi ya waliopigia kura ili kuamua chama kipio kituongoze kwa kipindi fulani.
hivyo ni busara basi pamoja na kukichukia chama fulani, ni vyema tukavumilia na tukasuburi muda utapofika wa kufanya tathmini na kuelewa nini chama kilichopo madarakani kimefanya, hasa katika kutathmini utekelezaji wa ahadi zake, na kwa kufikia hapo ndio tunaweza kuamua na kwa winig wetu na kwa njia ya kura ni chama kipi kinaweza kuiongoza Tanzania kwa kipindi kingine cha miaka mitano ijayo, ila haya yetu ya sasa nik kujidhalilisha na kuonesha ni jinsi gani ambavyo siasa ya uvumilivu inaendelea kutushinda na maana yake mwisho wake sio mzuri. tujenge na kuendleeza tabia ya uvumilivu na tujenge tabia ya kuwapa waliopewa dhamana ya kuongoza nchi kwa kipindi hicho wakamilishe ahgadi zao, halafu waje kwetu kutuomba ridhaa nyengine kwa yale waliyoyafanya na tuone kama wanastahili au tufanye maamuzi mengine. na si zaidi ya hapo.

Hakuna wa kudanganywa hapa na hayo maelezo yako. Mambo yako wazi kwamba JK na CCM waliiba kura ili kushinda uchaguzi wa urais 2010. Uelewe kwamba wanaongoza hii nchi sio kwa ridhaa ya watanzania bali ni kwa wizi wa kura. Washukuru busara za Dr. Slaa. Otherwise TZ ingegeuka uwanja wa vita baada ya uchaguzi mkuu 2010. Kwa taarifa tu Kamanda wetu Slaa ameshasema CDM hatutakubali tena kuibiwa kura zetu kwenye uchaguzi mkuu 2015.
 
Back
Top Bottom