Ambulance ni ya Serikali jamani, angalia vizuri, tuachane na ushabiki wa kila kitu siasa.
ambulance bado ipo mi nimeiona ikipita....si ya ULTIMATE.....! TUACHE UZUSHI AMBAO HUSABABISHA WATU KUCHANGIA UZUSHI PASIPO KUJUA KUWA WANACHOCHANGIA NI UZUSHI MTUPU NA HAKUNA KWELI HATA CHEMBE....!
Kazi za Bongo technical know who, ujue hapo kuna ndugu yake anahisa Ultimate security. Hospitali zetu hazina huduma hiyo nguvu zote zimeelekezwa ultimate.
Kiongozi mwenye hili dudu (ultimate security) anaitwa Tanil Somaiya,
Mmoja wa shareholders wa Vodacom, anamiliki Shivacom, kiwanda cha kuchambua pamba (kwa ubia na Christopher Gachuma).
Huyu ndo yule alipaki mashine ya ukweli ikulu wakati mabalozi wameambiwa kupaki mikoko yao kuleeeeeeee baharini kwenye bomba la maji machafu.
Huyu ni mdau wa maendeleo ya nchi yetu maana walisaidia kupata magari na helkopita za jeshi, bila kusahau rada yetu ambayo imeongeza uwezo wa kiintelijensia wa majeshi yetu kama ilivyokuwa kwenye vurugu za Arusha.
Kwa habari ya ambulance pengine amejitolea kutokana na mapenzi yake kwa nchi/rais, serikali inaweza kuwa inachangia gharama za mafuta tu at a token of say 10m per trip si mbaya kihiiiiivyo!