Kwanini TLP na wala sio chama kingine chochote?basi ccm tumenchagua mrithi wetu ni TLP!2015 SISI TUNARUDI ZETU KWA BABA , NA WALA HAMTUONI TENA! UNASEMA JE!
TLP ni jiwe kuu la pembeni.Kwanini TLP na wala sio chama kingine chochote?
Kuna uhusiano gani kati ya CCM na TLP?
Kwanini isiwe CUF imbayo mmefunga nayo ndoa rasmi?
kazi ipo watanzania tujiandae kwa mabadiliko hakuna wakutuletea isipokua ni sisi wenyewe tusiishie kuonge jamvini tu
Wenye masikio na wamesikia kasoro Nape
Kwa hiyo wewe ndiyo ulikuwa unasoma habari TBC1?
Pastor kwanini unashabikia siasa?Utubu kweli!KMK(Kifo cha mafisadi kimewadia)
Inawezekana lakini ongea kwa data sio kwa ndoto za mchana.tembo na mbuzi wapi na wapi
CHADEMA wamevurugwa na ACT, sasa ni wa kuhurumia mkuu.