Mtaalaamuna
Member
- Feb 19, 2011
- 21
- 0
Wana CDM natumaini Tumefanya na tumeona mafanikio ya operesheni SANGARA, operesheni iliyo lenga kupata wanachama katika Miji mikuu na sehemu karibu na miji hii.
Sasa ni wakati wa kuingia ndani zaidi vijijini, kupanda na kushuka milima hadi kule ambako ccm hawajawahi kufika tangu nchi hii izaliwe ili tujipatie umaarufu huko.
Pia mikoa ya Pwani, Ta, Ld na Mtr nako ni kuweka kambi za kwelikweli na kuhakikisha mwka 2015 tuna wakilisha kwa kishindo.
Kwakua operesheni hii inakwenda mbali zaidi na kuleta wafuasi na wanachama wengi zaid napendekeza jina lake au slogan iwe "OPERESHENI DAGAA" Imarisha Chama CDM. :wink2:
Sasa ni wakati wa kuingia ndani zaidi vijijini, kupanda na kushuka milima hadi kule ambako ccm hawajawahi kufika tangu nchi hii izaliwe ili tujipatie umaarufu huko.
Pia mikoa ya Pwani, Ta, Ld na Mtr nako ni kuweka kambi za kwelikweli na kuhakikisha mwka 2015 tuna wakilisha kwa kishindo.
Kwakua operesheni hii inakwenda mbali zaidi na kuleta wafuasi na wanachama wengi zaid napendekeza jina lake au slogan iwe "OPERESHENI DAGAA" Imarisha Chama CDM. :wink2: