Hana jipya......njaa ndiyo inamsumbua, bado kitambo kidogo atarudi chama cha mafisadi - CCM, sisi watanzania tttadai haki zetu mpaka kieleweke........serekali hii haina huruma na watanzania, wanaangaliana wao tu, Mungu aliweka utajiri wa nchi hii kwa ajili ya watanzania wote nas si kwa ajili ya...