Jasho la Damu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2011
- 956
- 120
mhe Mrema yuko live bungeni anaponda maandamano
mhe Mrema yuko live bungeni anaponda maandamano
mhe Mrema yuko live bungeni anaponda maandamano
Anataka mafao kama naibu waziri mkuu mstaafu,jamaa kachizika
Naunga mkono hoja.Mimi naamini Mrema anapaswa kupumzika nyumbani aachane na ulingo wa siasa, maana kila wakati akipata nafasi hueleza kuwa aliwahi kuwa naibu waziri mkuu, haitusaidii tena Watz............. Kwa sasa hawezi tena siasa za mkikimkiki........... hayo waachie chadema...........
Hana jipya siunaona anasema nayeye anastahili kulipwa posho yake kwakuwa alikuwa Naibu waziri? Alikuwa anatafuta huruma ya ccm ili imlipe, ila kiukweli Mrema nimganga njaa