Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
mwanza kwetu aliweka hii post yake
na dk Slaa akamjibu hivi jana ilikua tr 18/04/2011Agree
CDM
1. wawe na radio
2. wawe na TV ya mlengo wao
3. mkakati wao wa kwenda kijijini mhimu sana na uendelezwe bila kuchoka
4.bunge liendeleze vita kali sana ya utalaam ili activity yao iweze ku-outpay ccm na wingi wao; ref Lisu yesterday
5. kuongeza kada za aina na jamii zote kuanzia wasomi hadi wakulima na wajisikie wako huru na salamanhuko na waone huyo ndio mkombozi
6. waongeze na washinde propaganda ya Amani ambayo inatumia miaka yote na CCM; wapewe wananchi ujasiri kwa amani ili waone huko kuna amani maneno ya ccm yasiwe na guvu na kuepuka uhuni wa ccm ktk hilo
7. etc
Mwanza Kwetu,
Thanks a lot. Ushauri umepokelewa na ninakuhakikishia yote yanafanyiwa kazi. Usichoke, na wana JF msichoke kutushauri. Ukombozi ni wetu sote na jamii yetu. Nguvu ya umma ni pamoja na mchango wa kila mmoja wetu. Thhanks a lot. Kesho tuko Jimbo laa Bukene na Nzega na Kesho kutwa tunaingia Igunga. Tusindikizane wote.