Tanganyika
Member
- Nov 4, 2010
- 67
- 1
Namsikitikia na kumuonea sana huruma bwana gaudens Lyimo..........hata mimi jana kwenye uwanja wa stadium arusha nilishuhudia alivyodhalilika.......baada ya watu wote meza kuu kutambulishwa na yeye akiwa meza hiyohiyo akaachwa.......ni aibu kwani Meya ni mtu mkubwa sana ndani ya manispaa. hili nilishaliona tena mahali pengine.......alitambulisho kwa cheo cha diwani tu na si meya, siku hiyo alihuzunika sana na ikabidi akaondoka kabla ya wakati. Huyu jamaa anateseka kwa ajili ya maslahi ya wengine............lakini ajue kwamba yeye ni Gaudens na wengine ni wao........kila mtu ataubeba mzigo wake mwenyewe!!!