sweetlady
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 16,947
- 8,409
Bora kuikosa hyo heshma, kuliko kunyamaza wkt wananchi wanateseka, GO AHEAD LEMA! Watz 2ko nyuma yako, mapambano daima mpk kieleweke, we kshongo njaa itakuua. Mtasema kla k2, ha2rud nyuma tna!
Uko sahihi.
Huyu dogo anasumbuliwa na uelewa mdogo na kupenda ushabiki wa kijinga.
Hajui ubunge ni wadhifa wenye heshma.
Bado ana mawazo yale yale aliyokuwa nayo alipokuwa CHALII.
Ni aibu kwa Bunge letu kuwa na mwakilishi kama yeye asiyependa kufuata sheria alizotunga.