hivi unataka kuniambia kunya kanisani ni tabia ya kabila kwa ujumla wake?tabia nzuri kukata migomba?, kunyea makanisani?, wanakera sana hawa bwana. kha!
Mbona baadhi ya wanaume wa Pemba wanafanywa so naweza generalize?
hivi unataka kuniambia kunya kanisani ni tabia ya kabila kwa ujumla wake?tabia nzuri kukata migomba?, kunyea makanisani?, wanakera sana hawa bwana. kha!
swali zuri sana kwa hiyo inategemea mtu na mtu lakini kuna vitu ambavyo watu hufanana,mfano kuna watu wa kabila la wahaya ulishawahi kuta asiye na majivuno au kupenda kuwa juu?hivi unataka kuniambia kunya kanisani ni tabia ya kabila kwa ujumla wake?Mbona baadhi ya wanaume wa Pemba wanafanywa so naweza generalize?
Ninachoelewa ukiowa mmeru ujue yeye ndiye atakuwa mtawala wa nyumba.ndugu zake ndio watakuja lakini upande wako patakuwa na kazi hatajitaidi mlinzi,house b/g wote wawe meru au masai.niwachoyo sanaaaaa!
swali zuri sana kwa hiyo inategemea mtu na mtu lakini kuna vitu ambavyo watu hufanana,mfano kuna watu wa kabila la wahaya ulishawahi kuta asiye na majivuno au kupenda kuwa juu?
Mkuu unalolisema ni kweli binafsi nimeona sana hiyo,sijawahi kukutana na mhaya mwenye majivuno! Na hata ningekutana nao watano siwezi kugeneralize kuwa ni wahaya wote!wameru vile vile hatuwezi kusema wote kwa ujumla wao wana tabia hizi,labda kama tunaweka ugreat thinker pembeni unaofanya reasoning na kuandika kiushabiki zaidi kutokana na sababu flani flani.Binafsi nimekutana na wahaya wengi sana wasio na majivuno wala kupenda kuwa juu...Nimeshakutana na Wachaga, Wanyakyusa, Wangoni nk nk wenye majivuno na dharau kuliko hata wahaya...Tabia ya mtu au watu fulani ni makosa sana kui-generalize kuwa tabia ya Jamii nzima aliyotoka huyo mtu..
YAANI1. Wana viisasi
2.Washari
3.Primitive
4.Sio wastaarabu
"Kuliko ukutane na Mmeru bora ukutane na NYOKA"
Huu ni usemi rasmi unawadescribu wao.
Jamaa naskia ni wa huko lkn ubabe wake unatia shakaYAANIWe acha tu!Kavu kavu mnamsema Mzee LOWASSA, Laigwanan, ouuwiii
Teh teh mkuu hyo namba 7 umenifurahisha kweli
- Kama ukimchukua hausigirl wa Kimeru anaweza kukutumbulia tumbo mtoto siku mkimtibua
- Wanaume kwa wanawake ni wababe kinoma
- Hawana staa /uvumilivu wa jambo
- hawakubali kushindwa kirahisi
- Wana ugomvi usioisha maishani
- Wengine ni washirikina kinoma
- Wanapenda sana short- cuts kwenye kkila jambo, wanaweza kuingiza hata ng'ombe shambani ilimradi wasiende machungo ya mbali
Mkuu unalolisema ni kweli binafsi nimeona sana hiyo,sijawahi kukutana na mhaya mwenye majivuno! Na hata ningekutana nao watano siwezi kugeneralize kuwa ni wahaya wote!wameru vile vile hatuwezi kusema wote kwa ujumla wao wana tabia hizi,labda kama tunaweka ugreat thinker pembeni unaofanya reasoning na kuandika kiushabiki zaidi kutokana na sababu flani flani.
Jamaa naskia ni wa huko lkn ubabe wake unatia shaka