Recent content by SUTU BUTUGURI

  1. S

    Assume: Muungano umevunjika

    Dawa ya Muungano ni kuuvunja tu. MUUNGANO! Hauna faida. Wananchi wa Zanz hawautaki. Viongozi wa Zanz wanautaka, sio kwa sababu wanaupenda, bali kwa sababu unawapa vyeo na mafedha ya kumwaga. Angalia, kutoka Zanz kwa sasa (ka-sehemu kenye watu laki 8, mara tano ya mkoa wa Mwanza wenye watu...
  2. S

    CCM kujivua gamba; (DC Urambo Ana Magoa) sasa hakuna ajira kwa CHADEMA serikalini

    Kilikuwa ni kikao cha KUU (Kamati ya Ulinzi na Usalama) kwa ajili ya kusaili vijana wa kujiunga na JKT. Mara akaingia kijana mmoja OFINI KWA DC, Mkuu wa Wilaya ya Urambo kwa kile kilichoonekana kuwa alikuwa ametonywa historia ya kijana SEFU ALI bila shaka na TISS akamuuliza, "Wewe ni...
  3. S

    Muswada wa marekebisho ya sheria ya manunuzi ya umma 2011

    Taanzania, tanzania, ningekupenda kwa moyo wote ... kama ungekuwa na viongozi wanaokupenda. Lakini duuuuuuuu, viongozi wankuingilia kinyume na maumbile, mimi nitakupendaje? Inasikitisha, sheria kubadilishwa ili serikali iweze kununua vitu CHAKAVU. Ama kweli tumekwisha ...
  4. S

    Ushauri kwa chama cha CHADEMA!

    Nasoma sheria kwa makini saaana sasa, hivi karibuni nitakuwa Arusha kuwatetea CDM ninayoipenda. Nitajitolea, sitaki kulipwa hata senti. Hafungwi mtu. Duniani kote kama hamjui, uhuru wa pili (badala ya ule wa 1961) ndiyo mgumu kuliko wote kuupigania. Kesi za kutengeneza hazifungi mtu. Ni...
  5. S

    UVCCM: Usalama wa taifa haumsaidii rais, unavuruga nchi kwa maslahi yake

    Ni kweli Usalama wa Taifa hawamsaidii Kikwete, kwani Tanzania hakuna Usalama wa Taifa. Hakuna kitu kama hicho. Kama kipo, basi ni kwa ajili ya kazi nyingine, siyo kwa ajili ya Usalama wa Taifa kama unavyofahamika kimataifa. Kimataifa Usalama wa Taifa unahakikisha raslimali za taifa zinalindwa...
  6. S

    Kikwete amwambia Magufuli aache Ubabe kwenye bomoa bomoa; Magufuli ataaminika tena?

    WaTANZANIA msichekecheke, hili ni jambo kubwa sana. Kwa kusema hivyo, KIKWETE Rais amevunja Katiba yao wenyewe ya mwaka 1977 na aondoke. Juzi hapa alisema CHADEMA wamevunja Katiba, na wapambe wake wakashika matarumbeta na kutuimbia mdundiko wa kwamba CHADEMA wamevunja Katiba. Sasa Kikwete...
  7. S

    Piracy, Money Laundering, corruption, terrorism etc in Tanzania

    Idara za usalama wa taifa wa nchi husika ndizo hushughulika na mambo hayo ya piracy & money laundering. Marekani ni CIA ilisaidiana na FBI, Uingereza ni MI5 ikisaidiwa na SFO nk. Tanzania puuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu. Usalama wa Taifa, TISS, ni usalama wa mafisadi wa CCM. Hawalindi nchi...
  8. S

    CCM Rudisheni Kwanza Hela za Ma-Alhaj Qadhafi na Hosni Mubarak

    CCM na Gadafi wanafanana. CCM mafisadi, Gadaf dikteta. CCM wamrudishie vitu vyake, pesa za kampeni alizowalipa ili wamuunge mkono kwa mawazo yake ya kuundwa kwa the United States of Africa ...
  9. S

    Bashe: Taifa linahitaji maombezi 'limekosa mwelekeo kutokana na mapepo'

    Wachungaji amkeni, ikemeeeni CCM isituangamize kwa ufisadi ...
  10. S

    Lowassa au Mwandosya kuwa Rais wa Tanzania 2015?

    ZITTO! OK. Mimi namjua kama mtu atafutae umaarufu wa chee, a photogenic or a fame monger. Zitto shida yake ni umaarufu anaoutafuta kwa udi na uvumba, na kwa sasa hawezi kuupata kupitia CDM kwa kuwa wapo wanaostahili sifa kuliko yeye - JJ MNYIKA, LISSU nk - na kwa kweli ataondoka CDM, hilo liko...
  11. S

    Vick kamata: Lowassa kaiba kuku wa watanzania siyo wa mfalme, hatumsamehi hajaomba msamaha

    MH VICK KAMATA MBUNGE WA CCM na wakala wa mafisadi tunayemfahamu fika, katumwa kuimba, na kaimba na tumemsikia, kwa sura anavutia lakini hatumpendi kwa kuwa ni wakala wa mafisadi. VICK kaimba, "... sikumbuki kuku (niyeiba) ... nakumbuka msamaha wa mfalme (niyemuibia)...". Bahati mbaya kuku...
  12. S

    CHADEMA: Hatutikisiki | Wasema Cuf ni CCM B, Lipumba anatekeleza mradi

    CCM i mahututi, inakufa. CDM siyo wanaoiua. CCM inauawa na wanaCCM ejusdem generis wanaofikiri kuwa CCM haiumwi ...
  13. S

    Kikwete kilimo kwanza, Lowassa elimu kwanza!

    No. To both, KIKWETE & LOWASA ufisadi kwanza ...
  14. S

    Zitto kugombea urais 2015?

    Only if he come to his senses, that he becomes trustworthy. Because I see him as a CCM kibaraka, his statements contradict us, we the patriots ...
  15. S

    Mwanahalisi na Raia Mwema ni magazeti ya ajabu kabisa

    Usijiue mkuu, kwani mapambano ndoo kwanza yanaanza. Kitaeleweka tu ...
Back
Top Bottom