SUTU BUTUGURI
Member
- Mar 8, 2011
- 22
- 3
Dawa ya Muungano ni kuuvunja tu. MUUNGANO! Hauna faida. Wananchi wa Zanz hawautaki. Viongozi wa Zanz wanautaka, sio kwa sababu wanaupenda, bali kwa sababu unawapa vyeo na mafedha ya kumwaga. Angalia, kutoka Zanz kwa sasa (ka-sehemu kenye watu laki 8, mara tano ya mkoa wa Mwanza wenye watu takribani milioni 4) kuna Makamu wa Rais wa Muungano, kuna Mawaziri 7 na manaibu kadhaa, mabalozi lukuki, makatibu wakuu wa wizara, majaji, wabunge 80 nk; huku MWANZA kuna waziri mmoja tu, wabunge 10. Usawa uko wapi? HAKUNA, MUUNGANO UVUNJWE.
Alafu, Zanz hawachangii fedha za kuendesha Muungano huo, wao wanavuna tu mapesa.n Ni mafisadi hawa. Vunja MUUNGANO PLEASE
Alafu, Zanz hawachangii fedha za kuendesha Muungano huo, wao wanavuna tu mapesa.n Ni mafisadi hawa. Vunja MUUNGANO PLEASE