Mwaka 2015 Zitto atakuwa ana miaka 39 Inshallah. Katiba ya nchi inasema kuwa mgombea Rais lazima awe ametimiza miaka 40. Tunafahamu kuwa Zitto amehakikishiwa na swahiba wake mkubwa Jakaya Kikwete kuwa katiba itabadilishwa kabla ya 2015 na umri wa kugombea Urais utashushwa mpaka miaka 35 ndiyo maana ana confidence kuwa 2015 atagombea Urais huku akijua katiba iliyopo hairuhusu.
Sidhani kuwa chama makini kama CHADEMA kitampa nafasi Zitto ya kugombea Urais. Nadhani DK. WILLIBROD SLAA ndiyo chaguo la Watanzania wengi na anafaa kugombea tena Urais 2015. Ingawa DK. SLAA mwenyewe anaweza kuwa hataki kugombea tena, ni vyema umma wa Tanzania ukamuomba afanye hivyo tena. Sote tunajua kuwa kuna uwezekano mkubwa sana SLAA angeshinda Urais 2010 kama si wizi mkubwa wa kura uliofanywa na CCM.
Huyu Zitto hana sifa tena ya kuwa kiongozi CHADEMA. Labda akagombee Urais kupitia chama chake mbadala cha NCCR-Mageuzi. Hakika ataambulia kura chache kwani Watanzania wamemshtukia kama walivyomchoka Edward Lowassa wa CCM.
Parliament of Tanzania
First Name: Middle Name: Zuberi Last Name: Zitto Member Type: Constituency Member Constituent: Kigoma Kaskazini Political Party: CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO Office Location: P.O.Box 325, Kigoma Office Phone: +255 713 730256 Ext.:
Office Fax: +255 22 2112538 Office E-mail: kzitto@[B]parliament[/B].go.tz Member Status: Current Member Start Date: 28 December 2005 End Date: 30 August 2010 Date of Birth 24 September 1976
ndio nina evidance za kutosha na i know him very much than you think, once i travelled with him and he told me a lot of things from TSS. also he has been feeding ZOKA various hints frm CDM. U donk know him.
Another conspiracy theory hivi watanzania lini tutabadilika jamani?
Wakuu! Kuna tetesi ZITTO ameanza kujipanga [network and financial] ndani na nje ya CDM, kugombea uraisi 2015.
Huwa inanishangaza watu wasioitakia CDM mema wanapojitokeza kushabikia linapojitokeza jina la Zitto.Naitamani sana hiyo siku atakayochukua form na wazee wa chadema wasimuwekee nongwa. Zitto hakika anamvuto na pia mkimcheki anaonesha nia ya dhati, yapaswa wote tumuunge mkono, na hiyo itakuwa ni nusura ya chadema.otherwise mkijichanganya akagombea out of CDM basi chadema itabaki kuwa kama NCCR ilivyo kwa sasa.
Zitto please tunakuombea uchukue form. kura yangu itakuwa ya kwanza
Kwa mara ya kwanza naona umetoa ushauri "Mzuri" kwa chadema.Naitamani sana hiyo siku atakayochukua form na wazee wa chadema wasimuwekee nongwa. Zitto hakika anamvuto na pia mkimcheki anaonesha nia ya dhati, yapaswa wote tumuunge mkono, na hiyo itakuwa ni nusura ya chadema.otherwise mkijichanganya akagombea out of CDM basi chadema itabaki kuwa kama NCCR ilivyo kwa sasa.
Zitto please tunakuombea uchukue form. kura yangu itakuwa ya kwanza