Mr popbwinyo ni kama unamfahamu Tia vyema, kuna mlima mmoja upo ktk hifadhi ya rungwa iliyopo CHUNYA na Singida, ktk mlima Huo kuna vitu furani vya maajabu sio vya kawaida kabisa, kutokana na simulizi za kuvutia juu ya vitu hivyo baadhi ambao tulikua hatuamini tukasema mpaka tuone kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.