Nimemsikilizz jionibhii akilizungumzia jengo la yanga linalotaka kupigwa mnada kiukweli sijamfurahia amejua na maneno ya kejeli sana eti anataka kulinunua afugie samaki huyu jamaaa

Ugonjwa wake usiyo na tiba unamsumbuaNimemsikilizz jionibhii akilizungumzia jengo la yanga linalotaka kupigwa mnada kiukweli sijamfurahia amejua na maneno ya kejeli sana eti anataka kulinunua afugie samaki huyu jamaaa
Ebu kwanza muangaalie mdomoniUtani
Utani wa jadi akafanyie nje ya Clouds.
Hivi huyu jamaa alipata Div ipi mtihani wa Form Four? Ana dalili za kuwa na cheti feki
Clouds na tbc hawana tofautiSasa uongozi wa Clouds ndivyo unavyotaka hivyo kuongeza chachandu ya kipindi kisiwe boring.
Kama hutaki sikiliza redio nyingine.
Unataka kuwapangia jinsi ya kuendesha kipindi chao?
Kwanini isiwe virusii?Mimi ningeendeleza ufugaji wa vyura.
Ukichukulia kila kitu serious utazeeka mapema kwa kukunja sura mara kwa mara.
Hilo halina shida, kwa sababu hujalazimishwa kuwasikiliza.Clouds na tbc hawana tofauti
Na siwasikilizi hadi kaburiniHilo halina shida, kwa sababu hujalazimishwa kuwasikiliza.
Natamani bashite angemkuta studio ile sikuAchana nae huyo Jembe la uongo amesahau kunywaa dawa zake
Sasa kama watu wana uhuru kutowasikiliza,tatizo liko wapi? Mjadala unaanzia wapi?Na siwasikilizi hadi kaburini
Kama unatumia kiungo sahihi cha mwili wako ktk kuongea umgemuuliza hilo swali mleta madaSasa kama watu wana uhuru kutowasikiliza,tatizo liko wapi? Mjadala unaanzia wapi?
Nimwenzake huyo wala asinge mdhuruNatamani bashite angemkuta studio ile siku
Unajuaje kwamba sijamuuliza mleta mada?Kama unatumia kiungo sahihi cha mwili wako ktk kuongea umgemuuliza hilo swali mleta mada