Recent content by Sully Muntari

  1. Sully Muntari

    Kitu gani mpenzi wako kakufundisha ambacho hukutegemea kutoka kwake?

    Wife Kanifundisha ku bett.... Hata Majuzi ali bett Trump atashinda na Kweli kashinda. Big Up Wife
  2. Sully Muntari

    Ilikuwa nife jioni hii ya leo!!!

    Mkuu kwanza pole kwa kibano ulichopokea kutoka kwa chombo cha dola, Pia mshukuru huyo mwanao kwa kufanya maelezo yako yaeleweke kwa kupitia kilio chake. Mie hapo naona ulikosea sana kuna vitu unatakiwa ujiongeze mwenyewe kabla hujakutwa na majanga mimi sikuona sababu ya wewe kuwakimbia hao...
  3. Sully Muntari

    Rafiki wa mchepuko wangu anataka kunioa

    Aaaaaaaaaaaaa Kumbe ndiyo maana siku hizi hunipi simu yako nione zile picha za apetite siyo kumbe umeanza kudate na Joh siyo? Sasa nasema hivi hapa hafi wala haolewi mtu na nakuja sasa hivi niandalie mambo yangu na nitalala hapo hapo... Kumbe diyo maana unamchangamkia sana yule bwna mdogo co?
  4. Sully Muntari

    Zitto Kabwe: Fedha za Marekani ni porojo, Bajeti ya mwaka huu hakuna hata senti ya kutoka Marekani

    Kwa uelewa wako mdogo unafikri hicho kitabu hutolewa muda gani na nani hutoa hicho kitabu ukisha fahamu hayo wala hutakuwa na mwendokasi wa kutoa povu lote hilo, pia kuwemo au kuto kuwemo bungeni hakukufanyi usifuatilie nini kinaendelea bungeni... huu tunauuita uwajibikaji kwani kuto kuhudhuria...
  5. Sully Muntari

    Serena Hotel na Ubaguzi wa Rangi!, Kwa Mzungu It is OK, Kwa Mswahili Hapana!

    Hiyo ni kweli kabisa hawa jamaa ni wabaguzi kichizi nilidhani ni mimi pekee nilikutana na huo ubaguzi kumbe na wewe mzee pole sana. Naona hii itakuwa ni sera yao hawa jamaa
  6. Sully Muntari

    Call ya house girl kwa mume wangu

    Kama uko serious unataka house girl mbona wapo kibao tu sema kuwatoa mashambani huko huwa wanataka pesa za kuacha makwao tu, zaidi ya hapo ni uhakika wa mshahara.... ila pole sana ushauri wangu ni kuacha kumfikiria mr namna hiyo... Hilo lilishawahi kutokea kwa upande wangu ila lilikuwa tofauti...
  7. Sully Muntari

    Kwa hili la kukataa mwaliko wa Uingereza na kwenda Uganda, Rais sikuungi mkono

    Naheshimu mawazo yako ila sikubaliani nawe Kama ifuatavyo: 1. Rais wa Uganda anaapishwa tarehe 12/05/2016. Rais JPM ni mwenyekiti wa jumuiya ya Africa ya Mashariki na mktanao wao na huyo Prime Minister ni Tarhe hiyo hiyo kama ndio wewe ungeenda wapi uache wapi? Ili hali tulikuwa kwenye mtifuano...
  8. Sully Muntari

    Nahitaji mkopo, nitarejesha na riba ya 25%

    Yupo sahihi kwani we hesabu zako zimekaa vp? maana 25% ya 20m ni 5m mra miezi 3 ni 15m au lete hesabu yako tuone
  9. Sully Muntari

    Wajuzi wa hesabu nisaidieni swali hili

    Perimeter of a rectangle = 2(length +width) 34 = 2(L + W)....................(i) Area of a rectangle = Length * width 60 = L*W................................(ii) Combine equation (i) and (ii) above to solve simultaneous equation which results...
  10. Sully Muntari

    Mume wangu amempa mimba mdogo wangu

    Labda mumeo alikuwa anahamu sana na Mtoto ila wewe ukaweka maslahi yako ya kuto kubeba mimba yake mpaka umalize masomo unaweza kuachana nae leo ila elewa kuwa siku zote ukishakuwa ndiwe mwenye maamuzi ndani ya ndoa vitu kama hivyo tena na zaidi ya hivyo hutokea ushauri wangu ni kuwa rudisha moyo...
  11. Sully Muntari

    Mafunzo ya JKT kwa kujitolea kwa mwaka 2016

    Haja kutusi kakuambia ukweli weka hiyo website yako uliyokuwa una peruzi ili siku nyingine usaidiwe kama neno website ndio tatizo kwa kisukuma ni tovuti kaka
  12. Sully Muntari

    Mbunge Joseph Msukuma simuelewi, Ona anavyozungumzia faida ya bunge kutokurushwa "live"

    Huyu jamaa wakati Mh. Lowassa anatangaza nia ale Sheikh Amri abeid, alishuka kwa chopa uwanjani toka siku ile nikaanza kumuona chengu, Pia wakati wa kampeni huyu jamaa alikuja na kuvumisha mgombea fulani wa urais amejinyea, wakati wa bunge la kwanza akaja na hoja za kutaka sigara bwege ivutwe...
  13. Sully Muntari

    Wasichana wenye kauli hizi badilikeni

    Mwanamke staha siyo usela mwingi... wanawake wa aina hii ndoa wao wanaishia kujaza kabati la nguo kwa sare za harusi za wenzao. Mwanamke pozi, kudeka na kauli zenye bashasha za mahaba siyo unakuwa mgumu na kauli tata kama kondakta... nani akuweke ndani? unataka kugeuza nyumba yangu gheto la...
Back
Top Bottom