msindikizaji
JF-Expert Member
- Aug 29, 2010
- 1,763
- 2,891
Ulichokizungumza Nina ukweli ndani yake. Yaliyo mpata rafiki ako kwa mkewe kuchekwa kwa kebeh labda inaonesha kabisa watu wenyewe hawajiheshim,(hao vijana ).labda niseme hivi,huu mchepuko wangu ni mtu Na busara zake, kunidharau sio rahisi Ila sijui atachukuliaje hilo swala maana hata jana Na juzi ananitumia sms za "usiniache,kukupenda kwangu isiwe tabu uKajaniumiza, oh ur by happiness, yaani sijui Na hata sielew itakuaje. "yaan kama moyo wake una wasi wasi coz najaribu kumua void so kama anastuka.
are you serious??? mwanamke gani hapa duniani hajaambiwa hayo maneno... kuna mawili, either huwajui kabisa wanaume au umeamua tu kuweka story siku iende.. unamuitaje mtu anayechepuka na mchepuko wa rafiki yake ni mtu mwenye busara..mmmmh
, yaani sijui Na hata sielew itakuaje. "yaan kama moyo wake una wasi wasi coz najaribu kumua void so kama anastuka.