Recent content by strong lady

  1. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Women...........!

    Nakapanya hata mimi naongelea haohao responsible men, kama mimi nafikia hatua ya kufanya majukumu yako kwa familia kwanini na wewe inapobidi usifanye ya kwangu ni sehemu ya mapenzi pia ,
  2. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Women...........!

    Tuliona tumetimiza haki zetu zote kwenu tena bado mnataka haki zenu kwetu tuzifanye sisi ndio maana tunataka haki sawa, tunapika, tunafua, malezi ya watoto, sasa hivi tunalipa karo za shule,kodi za nyumba ,tunawanunulia magari,
  3. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natamani kupendwa kama ninavyopenda

    Jamani msipende kupenda pendeni kupendwa tu
  4. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Leo nafunga pingu za maisha

    Hongera sana, Amani na upendo uwe nanyi
  5. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanamke miaka 40-60.

    teh teh teh teh teh teh teh teh teh teh teh
  6. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kushukuru.

    Kaunga AMEN @Aspirin NOT AMEN
  7. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta Rafiki Wa Kike Wa Kumjali

    Loading...................................
  8. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta Rafiki Wa Kike Wa Kumjali

    We Cool Gentleman acha kuota bila kulala tena asubuhi sina undugu wala urafiki na golden lady na mie nakusalimia
  9. S

    JamiiForums Tanzania uso wangu jamani

    Nunua sabuni ya mlonge unanawia halafu unapaka povu lake usoni usiku
  10. S

    JamiiForums Tanzania Je huu ni ugonjwa?

    Asante MziziMkavu nitafuata matibabu mapema maana nimeogopa kama itafikia kusahau mpaka jina langu
  11. S

    JamiiForums Tanzania Tigo tigo tigo wizi huu mpaka lini?

    Sasa hivi wameingiza wizi kwenye vifurushi ukinunua kifurushi cha siku ikifika saa 6 usiku kinakuwa mwisho hata kama ulinunua sasa 5 usiku SIKU kwao haimaanishi masaa 24
  12. S

    JamiiForums Tanzania Je huu ni ugonjwa?

    Hi JF Doctor ! hoping ur doing fine! sijui ni ugonjwa au mabadiliko ya mwili kiumri nimejigundua nimekuwa na ukosefu wa kumbukumbu vizuri naweza nikaweka kitu mahali within a short time nikasahau kabisa nilipokiweka au nikaongea na mtu jambo baada ya muda mfupi sikumbuki tulikuwa...
  13. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimekutana nae.........

    Jichunguze ze way unavyomwaga sera mara kikwete mjomba wangu, leo nimepanda daladala gari langu bovu, wakati hata bajaji huna,mara mimi sijakulia uswahilini,au ukinikubali matatizo na shida zako zoote nitazimaliza. kwa sera hizo kaka utahuzunika milele
  14. S

    JamiiForums Tanzania Nape umewafanya nini wamama wetu?

    Du kwa comments hizi kweli watu wamechoka na CCM hamna hata mmoja aliyesifia Tungoje 2015
  15. S

    JamiiForums Tanzania Wakuu hili jiko hapo Dar lipo hilo? Ceramic

    Du hayo majiko ni ya zamani mpaka siku hizi wametoa new model yake udongo tupu bila bati imara sana
Back
Top Bottom