Recent content by strong lady

  1. S

    Women...........!

    Nakapanya hata mimi naongelea haohao responsible men, kama mimi nafikia hatua ya kufanya majukumu yako kwa familia kwanini na wewe inapobidi usifanye ya kwangu ni sehemu ya mapenzi pia ,
  2. S

    Women...........!

    Tuliona tumetimiza haki zetu zote kwenu tena bado mnataka haki zenu kwetu tuzifanye sisi ndio maana tunataka haki sawa, tunapika, tunafua, malezi ya watoto, sasa hivi tunalipa karo za shule,kodi za nyumba ,tunawanunulia magari,
  3. S

    Natamani kupendwa kama ninavyopenda

    Jamani msipende kupenda pendeni kupendwa tu
  4. S

    Leo nafunga pingu za maisha

    Hongera sana, Amani na upendo uwe nanyi
  5. S

    Mwanamke miaka 40-60.

    teh teh teh teh teh teh teh teh teh teh teh
  6. S

    Kushukuru.

    Kaunga AMEN @Aspirin NOT AMEN
  7. S

    Natafuta Rafiki Wa Kike Wa Kumjali

    Loading...................................
  8. S

    Natafuta Rafiki Wa Kike Wa Kumjali

    We Cool Gentleman acha kuota bila kulala tena asubuhi sina undugu wala urafiki na golden lady na mie nakusalimia
  9. S

    uso wangu jamani

    Nunua sabuni ya mlonge unanawia halafu unapaka povu lake usoni usiku
  10. S

    Je huu ni ugonjwa?

    Asante MziziMkavu nitafuata matibabu mapema maana nimeogopa kama itafikia kusahau mpaka jina langu
  11. S

    Tigo tigo tigo wizi huu mpaka lini?

    Sasa hivi wameingiza wizi kwenye vifurushi ukinunua kifurushi cha siku ikifika saa 6 usiku kinakuwa mwisho hata kama ulinunua sasa 5 usiku SIKU kwao haimaanishi masaa 24
  12. S

    Je huu ni ugonjwa?

    Hi JF Doctor ! hoping ur doing fine! sijui ni ugonjwa au mabadiliko ya mwili kiumri nimejigundua nimekuwa na ukosefu wa kumbukumbu vizuri naweza nikaweka kitu mahali within a short time nikasahau kabisa nilipokiweka au nikaongea na mtu jambo baada ya muda mfupi sikumbuki tulikuwa...
  13. S

    Nimekutana nae.........

    Jichunguze ze way unavyomwaga sera mara kikwete mjomba wangu, leo nimepanda daladala gari langu bovu, wakati hata bajaji huna,mara mimi sijakulia uswahilini,au ukinikubali matatizo na shida zako zoote nitazimaliza. kwa sera hizo kaka utahuzunika milele
  14. S

    Nape umewafanya nini wamama wetu?

    Du kwa comments hizi kweli watu wamechoka na CCM hamna hata mmoja aliyesifia Tungoje 2015
  15. S

    Wakuu hili jiko hapo Dar lipo hilo? Ceramic

    Du hayo majiko ni ya zamani mpaka siku hizi wametoa new model yake udongo tupu bila bati imara sana
Back
Top Bottom