Nakapanya hata mimi naongelea haohao responsible men, kama mimi nafikia hatua ya kufanya majukumu yako kwa familia kwanini na wewe inapobidi usifanye ya kwangu ni sehemu ya mapenzi pia ,
Tuliona tumetimiza haki zetu zote kwenu tena bado mnataka haki zenu kwetu tuzifanye sisi ndio maana tunataka haki sawa, tunapika, tunafua, malezi ya watoto, sasa hivi tunalipa karo za shule,kodi za nyumba ,tunawanunulia magari,
Sasa hivi wameingiza wizi kwenye vifurushi ukinunua kifurushi cha siku ikifika saa 6 usiku kinakuwa mwisho hata kama ulinunua sasa 5 usiku SIKU kwao haimaanishi masaa 24
Hi JF Doctor ! hoping ur doing fine! sijui ni ugonjwa au mabadiliko ya mwili kiumri nimejigundua nimekuwa na ukosefu wa kumbukumbu vizuri naweza nikaweka kitu mahali within a short time nikasahau kabisa nilipokiweka au nikaongea na mtu jambo baada ya muda mfupi sikumbuki tulikuwa...
Jichunguze ze way unavyomwaga sera mara kikwete mjomba wangu, leo nimepanda daladala gari langu bovu, wakati hata bajaji huna,mara mimi sijakulia uswahilini,au ukinikubali matatizo na shida zako zoote nitazimaliza. kwa sera hizo kaka utahuzunika milele
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.