Habari za jumapili wana JF leo tarehe 17 June 2012 nafunga ndoa na mpenzi wangu ambaye tumekuwa na mahusiano since 2007 tukiwa chuoni. Ndoa itafungwa katika kanisa la SDA Njiro wote mnakaribishwa. Namshukuru Mungu kuifikia siku hii
hongera sana,na ukaanze kulila tunda ulilonyimwa toka 2007 na pia Mwenyezi Mungu akupe nguvu,pia akujalie siha njema.
Una uhakika gn km hakuanza kula tunda for all those years? Anywayz hongera kaka