Cool Gentleman
JF-Expert Member
- Jun 10, 2012
- 330
- 235
- Thread starter
- #181
Kaka CG hebu tupe uzoefu wako mpaka hapa umepata PM ngapi, na je uliowapata vipi wamemeet expectations zako au wameexceed au wako below ur expectations. nataka na mimi nitafute kwa njiahii ila sasa vigezooo!yani viko kibaaaaooo! JF watanitoa baruuu! hebu mwaga uzoefu kaka CG
Mambo mazuri hayataki haraka. Ila amini kuwa JF ina wadada makini sana na wenye hekima kuliko unavyodhania. It is amazing. Nakuhakikishia kuwa hata kama Chemistry haitaendana lakini they are worthwhile excellent friends. Ni karata turufu.
I think its a matter of GAGO=Garbage In Garbage Out nikiwa na maana ukiwaheshimu na kuwa makini na mkweli katika mawasiliano nao, na wao pia wanakuwa very open na honest. Ukijifanya wewe mjuaji na wa mjini sana vile vile wanaweza kukupa mbofu mbofu na za usoni.
Hongereni sana Wadada wa JF, nyie ni zaidi ya Jembe. Ni Sululu.
Mchakato unaendelea. maombi bado yanakaribishwa. karibuni sana. We can be good friends you never know.