Kaunga
JF-Expert Member
- Nov 28, 2010
- 12,530
- 13,467
Father we thank Thee for the night,
And for the present morning light,
For rest and food and loving care.
Help us to do the things we should,
To be to others kind and good,
In all we do in all we say,
To grow more loving everyday!
Father we thank Thee for the night!
And for the present morning light,
For rest and food and loving care.
Help us to do the things we should,
To be to others kind and good,
In all we do in all we say,
To grow more loving everyday!
Father we thank Thee for the night!
Members of MMU say with me "AMEN"
Kwa some of us ambao tulilala na maheadache, stomachache au hata maheartache na tumeamka wazima tuna kila sababu ya kumshukuru Mungu tunayemuamini!
Tuliolala chumbani na kitandani warm n comfortable tuna sababu zote za kumshukuru Mungu. Maana kuna wasafiri waliokwama, wanaouguza ambao hawakupata hata lepe la usingizi, kuna wafungwa waso na hatia na hata wajeshi ambao wako vichakani!
Tuliolala tumekula hali kadhalika tunapaswa kumshukuru Mungu, kuna watu wameshasahau ladha ya warm meal!
Tuliolala tumekumbatiana na wapenzi wetu halali, pia twapaswa kumshukuru Mungu, kwani kuna no kubwa tu ambayo haijabarikiwa kupata wenzi kama wetu!
Siwezi maliza list ya blessings tulizonazo ambazo tunatake for granted na kulaumu vichache ambavyo tunadhani tunavikosa!
So guys, always thank your creator for everything!
Weekend njema!