Tigo tigo tigo wizi huu mpaka lini?

JOYCE PAUL

JF-Expert Member
Jan 8, 2010
1,005
82
JAMANI NISAIDIENI NATAKA KUJUA HII KAMPUNI YA TIGO INAYOIBIA WANANCHI WA TANZANIA inamilikiwa na nani huyo jamani,maana kampuni ni weziiii sijapata ona tena wizi wao wa wazi wazi nadhani ni zaidi ya wakoloni waliowai itawala tanganyika na visiwa vya unguja na pemba tena wanashirikiana na tcra wazi wazi kwani mamlaka hiyo imeshapokea malalamiko ila hayafanyii kazi ndio maana nasema wanashirikiana nao.
kwanza kabisa tigo pesa ukinunua muda wa maongezi wanakata hela halafu haupewi muda wa maongezi na hela imeliwa kama yao vile.

pili wananitutumia nyimbo ambazo wanakuja kunikata hela yangu bila idhini yangu,walivyo wajinga wanatuma meseji zao za mapenzi kuja kwenye simu yangu bila idhini yangu..jamni hivi kampuni ya tigo adminstration inafanywa na MAROBOT au binadamu?maana nashangaa ni watu gani wasiosikia.kama waliowapa leseni hawarudigi kukagua uendeshaji wa makampuni hayo au?mnisaidie maaana hii kampuni haina hata customer care maana hawapatikani hata siku moja ndio maana nasema TIGO itakuwa inaongozwa na maroboti waende wa wahusika wakaichunguze walau watubadilishie hayo maroboti maana wachunguzaji na wafuatiliaji ndio wamiliki wa tigo nadhani, maana bila hivyo wizi huu unaofanywa kwa wanachi wa kawaida maskini ungekuwa ulishadhibitiwa
 
Pole sana_mtandao wa waizi hao,...hamia airtel mkuu...huku ni full respect.
 
uyasemaxo ni kweli wahanga wahayo ni weng cha msingi kwakuwa wanaotakiwa kuwawajibisha wameziba masikio ni vema kutumia mitandao mingine badala ya kung'ang'ania kampuni ya waporaji. Hamia voda au airtel au zantel sawa eeeh!
 
uyasemaxo ni kweli wahanga wahayo ni weng cha msingi kwakuwa wanaotakiwa kuwawajibisha wameziba masikio ni vema kutumia mitandao mingine badala ya kung'ang'ania kampuni ya waporaji. Hamia voda au airtel au zantel sawa eeeh!

Hakuna hata mwenye afadhali! Nina line za kampuni zote hizo; Zantel watakupigia simu, utakuwa na hamu sana ya kumjua aliyekupigia (maana haitakuwa na jina ila namba tu). Ukipokea tu unaanza kusikia watu wanaongea (wanapiga story za ajabu ajabu)! Airtel ni zaidi ya wiki tatu sasa niliporipoti juu ya kadi zilizofutika ukikwaruza, hadi jana nimeenda Mlimani City kuulizia, nikaambiwa bado "Network" haijatengemaa, mara sijui wanaingiza "manually", yaani ni kero tupu! Tigo nilijitahidi hadi nikajiondoa kwenye zile sms zilizokuwa zinakuja kutoka namba 155750 na 15770, sasa hivi wananitumia kutoka namba 15556, habari za michezo, mbaya zaidi wananikata hela wakati sijajisajili! Kuhusu voda ndo sisemi, maana unaweza kushtukia namba yako haipo hewani kumbe kuna mtu amei-block analamba salio lako kutoka kwenye M-pesa! Tukimbilie wapi??????:angry::angry::angry:
 
Hili nalo ni balaa na kibaya zaidi ni kwamba waamuzi wa mchezo huu ni kama walishakufa vile. Tutaibiwa mpaka tukome! Kile kidogo unachobaki nacho baada ya kulipa kodi kubwa ndo hiki tena wajanja wanaendelea kukila kwa mtindo mwingine!
 
Joyce hakuna mtandao wenye afadhali wote ni wezi..................Tena Voda nahisi ndo wanakero kubwa sana kushinda hao Gwedo............Wameamua kutuibia nchi imekuwa shamba la bibi na wajukuu ambao ndo wananchi na wao wamegeuzwa kuwa shamba la bibi.....Ukiandamana ni kipigo...........ukileta mapigo ya uamsho ndo Jela na kipigo tena.........Style iliyobaki hapa ambayo haijatumiwa ni kujitos mhanga..
 
JAMANI NISAIDIENI NATAKA KUJUA HII KAMPUNI YA TIGO INAYOIBIA WANANCHI WA TANZANIA inamilikiwa na nani huyo jamani,maana kampuni ni weziiii sijapata ona tena wizi wao wa wazi wazi nadhani ni zaidi ya wakoloni waliowai itawala tanganyika na visiwa vya unguja na pemba tena wanashirikiana na tcra wazi wazi kwani mamlaka hiyo imeshapokea malalamiko ila hayafanyii kazi ndio maana nasema wanashirikiana nao.
kwanza kabisa tigo pesa ukinunua muda wa maongezi wanakata hela halafu haupewi muda wa maongezi na hela imeliwa kama yao vile.

pili wananitutumia nyimbo ambazo wanakuja kunikata hela yangu bila idhini yangu,walivyo wajinga wanatuma meseji zao za mapenzi kuja kwenye simu yangu bila idhini yangu..jamni hivi kampuni ya tigo adminstration inafanywa na MAROBOT au binadamu?maana nashangaa ni watu gani wasiosikia.kama waliowapa leseni hawarudigi kukagua uendeshaji wa makampuni hayo au?mnisaidie maaana hii kampuni haina hata customer care maana hawapatikani hata siku moja ndio maana nasema TIGO itakuwa inaongozwa na maroboti waende wa wahusika wakaichunguze walau watubadilishie hayo maroboti maana wachunguzaji na wafuatiliaji ndio wamiliki wa tigo nadhani, maana bila hivyo wizi huu unaofanywa kwa wanachi wa kawaida maskini ungekuwa ulishadhibitiwa

Pole sana Joyce Paul. Mi mwenyewe walishanichoshaga hawa jamaa. Nilichoamua kufanya ni kuto-recharge kabisa,coz nikiweka tu hata ka-mia tano wanakikwapua fasta. Sijaona kampuni ya simu inayoiba kama hii tangu nizaliwe.
Kama vipi achana nao hamia voda au airtel kuna unafuu flanii ingawa nako pia......
 
Sasa hivi wameingiza wizi kwenye vifurushi ukinunua kifurushi cha siku ikifika saa 6 usiku kinakuwa mwisho hata kama ulinunua sasa 5 usiku SIKU kwao haimaanishi masaa 24
 
JAMANI NISAIDIENI NATAKA KUJUA HII KAMPUNI YA TIGO INAYOIBIA WANANCHI WA TANZANIA inamilikiwa na nani huyo jamani,maana kampuni ni weziiii sijapata ona tena wizi wao wa wazi wazi nadhani ni zaidi ya wakoloni waliowai itawala tanganyika na visiwa vya unguja na pemba tena wanashirikiana na tcra wazi wazi kwani mamlaka hiyo imeshapokea malalamiko ila hayafanyii kazi ndio maana nasema wanashirikiana nao.
kwanza kabisa tigo pesa ukinunua muda wa maongezi wanakata hela halafu haupewi muda wa maongezi na hela imeliwa kama yao vile.

pili wananitutumia nyimbo ambazo wanakuja kunikata hela yangu bila idhini yangu,walivyo wajinga wanatuma meseji zao za mapenzi kuja kwenye simu yangu bila idhini yangu..jamni hivi kampuni ya tigo adminstration inafanywa na MAROBOT au binadamu?maana nashangaa ni watu gani wasiosikia.kama waliowapa leseni hawarudigi kukagua uendeshaji wa makampuni hayo au?mnisaidie maaana hii kampuni haina hata customer care maana hawapatikani hata siku moja ndio maana nasema TIGO itakuwa inaongozwa na maroboti waende wa wahusika wakaichunguze walau watubadilishie hayo maroboti maana wachunguzaji na wafuatiliaji ndio wamiliki wa tigo nadhani, maana bila hivyo wizi huu unaofanywa kwa wanachi wa kawaida maskini ungekuwa ulishadhibitiwa

hamia ttcl mobile
 
uyasemaxo ni kweli wahanga wahayo ni weng cha msingi kwakuwa wanaotakiwa kuwawajibisha wameziba masikio ni vema kutumia mitandao mingine badala ya kung'ang'ania kampuni ya waporaji. Hamia voda au airtel au zantel sawa eeeh!

hamieni ttcl
 
jaman hata me leo nimekumbwa na disaster la tigo. nimerecharge 500 nikajiunga na sms 15 na dk 5 za tigo wakakata 250 thn baada ya muda tena wakanitext kuwa nimepata dk 5 na sms 15 kwa mara nyngne. yan wamenibore kweli.
 
Back
Top Bottom