JOYCE PAUL
JF-Expert Member
- Jan 8, 2010
- 1,005
- 82
JAMANI NISAIDIENI NATAKA KUJUA HII KAMPUNI YA TIGO INAYOIBIA WANANCHI WA TANZANIA inamilikiwa na nani huyo jamani,maana kampuni ni weziiii sijapata ona tena wizi wao wa wazi wazi nadhani ni zaidi ya wakoloni waliowai itawala tanganyika na visiwa vya unguja na pemba tena wanashirikiana na tcra wazi wazi kwani mamlaka hiyo imeshapokea malalamiko ila hayafanyii kazi ndio maana nasema wanashirikiana nao.
kwanza kabisa tigo pesa ukinunua muda wa maongezi wanakata hela halafu haupewi muda wa maongezi na hela imeliwa kama yao vile.
pili wananitutumia nyimbo ambazo wanakuja kunikata hela yangu bila idhini yangu,walivyo wajinga wanatuma meseji zao za mapenzi kuja kwenye simu yangu bila idhini yangu..jamni hivi kampuni ya tigo adminstration inafanywa na MAROBOT au binadamu?maana nashangaa ni watu gani wasiosikia.kama waliowapa leseni hawarudigi kukagua uendeshaji wa makampuni hayo au?mnisaidie maaana hii kampuni haina hata customer care maana hawapatikani hata siku moja ndio maana nasema TIGO itakuwa inaongozwa na maroboti waende wa wahusika wakaichunguze walau watubadilishie hayo maroboti maana wachunguzaji na wafuatiliaji ndio wamiliki wa tigo nadhani, maana bila hivyo wizi huu unaofanywa kwa wanachi wa kawaida maskini ungekuwa ulishadhibitiwa
kwanza kabisa tigo pesa ukinunua muda wa maongezi wanakata hela halafu haupewi muda wa maongezi na hela imeliwa kama yao vile.
pili wananitutumia nyimbo ambazo wanakuja kunikata hela yangu bila idhini yangu,walivyo wajinga wanatuma meseji zao za mapenzi kuja kwenye simu yangu bila idhini yangu..jamni hivi kampuni ya tigo adminstration inafanywa na MAROBOT au binadamu?maana nashangaa ni watu gani wasiosikia.kama waliowapa leseni hawarudigi kukagua uendeshaji wa makampuni hayo au?mnisaidie maaana hii kampuni haina hata customer care maana hawapatikani hata siku moja ndio maana nasema TIGO itakuwa inaongozwa na maroboti waende wa wahusika wakaichunguze walau watubadilishie hayo maroboti maana wachunguzaji na wafuatiliaji ndio wamiliki wa tigo nadhani, maana bila hivyo wizi huu unaofanywa kwa wanachi wa kawaida maskini ungekuwa ulishadhibitiwa