Recent content by special dady

  1. special dady

    Boom langu natafuta mtu tuanzishe mradi wa kuku kienyeji

    Njo tusilikiane na mm kwenye ufugaji wa kuku wa nyama kwamwez nitakuwa nakutumia faida ya 60000 nataji wako utakuwa pale pale
  2. special dady

    Kwanini Bongo movie imedorora??

    Watu wako bze na wakina bashite sahivi
  3. special dady

    Ndugu zangu yamenikuta naomba mnisaidie

    Duuuu mapenzi ayashauliki kaka, kama umempenda komaa nae kama hauna kifua mkimbie tena usubili kodi imeisha hapo kidogo utakuwa umeonesha ukidume wako hata mkikutana njian atakuona mjanja
  4. special dady

    Hawa mbwa siwaelewi kabisaaaa

    Duuu!! Unabahati Mungu kakupendelea kakupa ulinzi, ingekuwa muungwana ungeenda kutoa sadaka ya shukulani
  5. special dady

    Fedheha kubwa kwenye mapenzi

    Vumilia tu mkuu wenzio tulipitia hayo kitambo kwasasa tumezoeya, baada ya myez 9 uchungu utaisha hata ukikutana nae njiani utamyea tu
  6. special dady

    Kinachonishangaza ni kwamba amekuwa king'ang'anizi na kunizoea sana

    Duuuu!! Mwenzio anahis amepata bahat huenda ajawai ambiwa anapendwa wewe unekuwa mtu wake wa kalibu
  7. special dady

    Huyu mwanamke anapenda mapenzi kuliko kawaida mpaka nakuwa mtoro kazini

    Ungekuwa unanyimwa ungelia vile vile unapewa full doz bado unaona kelo, kwel binadam hawana jema
  8. special dady

    Je, bikra inaweza kutoka bila kukutana na mwanaume? Na kwanini wasichana hawapendi kuulizwa hili?

    Hilo swali inatakiwa umuulize wakati ule unamtongoza, wewe umeisha mla ndio unauliza bikila inamana gani sasa?? Kibaya zaidi unamuuliza mkeo sizalau hiyo kwahiyo unataka kunshitaki kuwa alikuwa Malaya sana au sio mdau?? Acha utoto kama mkeo anakupenda na kukuheshim shukuru Mungu kwani wengine...
  9. special dady

    Nipe namna nzuri ya kuitikia mitongozo

    Duuuu!! Mitongozo??
  10. special dady

    Ushauri: Anataka ndoa lakini anakibamia

    Mm nahisi umeisha jialibu na matoy unayo jichomeka nayo huko ndiomana kumekuwa kukubwa kama bakuli, bole Dada ila usijali kwan mpo wadada wengi wenye matatizo kama yako kwa ushauliwangu ungejalibu kuwaona madocter wa upasuaji wanaweza kukusaidia angalau wakakushona hata nyuzi 2 ikapungua ukubwa...
  11. special dady

    Nimedukua Mawasiliano ya Mke wangu- Weka Mbali na watoto!

    Duuuu!! We jamaa unamoyo wa kishujaa, unajua kila kitu kinacho endelea alafu unampotezea daaaa!! Mm siwez ningesha mtimua kitambo, hiyo zalau mpaka makofi unakula daaa!! [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] nakuhulumia ila najikuta nakucheka, Punguza ubwege bwana atakuletea magonjwa...
  12. special dady

    Nape Nnauye kuongea na wanahabari

    Uwongo mbaya tukiwapata wanaume wengine wa2 wenye kujitoa muhanga kama Nape watanzania wataamka toka usingizini. Nakumbuka usemi wa bibi mmoja alisema "Tanzania sio nchi ya amani bali ni nchi ya Uvumulivu" duuu!! Sasa nmeyasadiki maneno hayo.
  13. special dady

    Msaada wa kung'amua fumbo hili

    Baba mdogo au baba mkubwa inamana mke wa maiti ni mama yake mdogo au mkubwa
  14. special dady

    Marekani: Bunge lapiga marufuku punyeto

    Duuu itakuaje ikiwa unaota ndito unasex na kwabahati mbaya ukajikuta umwemwaga kitandani?? Wanaweza kukuelewa kwel kuwa ulikuwa unaota?? Nahis watawafunga weng wasiokuwa na hatia hapa wachache sana watakao pona
Back
Top Bottom