255Gene
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 888
- 1,090
Wasalaam wanacelebrities na wanajf kwa ujumula... Kwanini Bongo movie imedorora na wengine wamefikia kusema imekufa ni sababu zipi zinazofanya hadi movie za kibongo kukosa soko
Je tatizo ni waingizaji?? ni directors amna ?ukosefu wa vifaa vyakisasa??? ni wandishi wa story na wa script wamekosekana?? wasambazaji amna??
Au labda zimekosa soko la
ndani???
Wadau na wapenzi wa Movie za kibongo mnakarubishwa kutoa hoja zenu
Je tatizo ni waingizaji?? ni directors amna ?ukosefu wa vifaa vyakisasa??? ni wandishi wa story na wa script wamekosekana?? wasambazaji amna??
Au labda zimekosa soko la
ndani???
Wadau na wapenzi wa Movie za kibongo mnakarubishwa kutoa hoja zenu