Fedheha kubwa kwenye mapenzi

Fedheha kubwa kwenye mapenzi

Wenzako wanalijua hilo kitaaambo!!!
Mwaya sio wanawake wote wako hivyo..., na huwezi kuupangia moyo kiasi cha kumpenda mtu
 
Tatizo ni kuwa na mitizamo ya karne ya19 wakati tupo karne ya 21! Ukiwa na uelewa na mtizamo sahihi huwezi kuumizwa! Hakuna papuchi ya kujimilkisha, nukta.
 
Nothing hurts Kama kusalitiwa na mtu unayemuamini
Akiwa boyfriend/girlfriend you can just walk,
Akiwa mume/mke afu mna watoto, ndio utajua how it really feels, sikia kwa mwingine
 
Mapenzi ni kama ligi ya mbuzi striker anaweza potea....wengi wana cheat na kuwaudhi wanao play fair
 
Pale unapodhani wewe ndio njia kuu kumbe ni mchepuko.
Pole.
 
Nimewahi kupata stress Mara moja tu na haijawahi tokea tena nazisikia tu kwa majirani kama nyie!!! Teh teh
 
mapenzi ya mwaka 2000 -kuendelea... .ni pasua kichwa ukiweka imani nayo basi kama sumu hipo karibu umeshakufa kama mtu wa bia ushapiga sana,au umaskini umekukalibia
 
Vumilia tu mkuu wenzio tulipitia hayo kitambo kwasasa tumezoeya, baada ya myez 9 uchungu utaisha hata ukikutana nae njiani utamyea tu
 
Back
Top Bottom