hakatiziBashite akatizi hapo....full ulinzi
Nenda na kirikuu ukawachukue....nawapenda sana mbwa.kweli upele umempata asiye na kucha tena mbwa wasiokukosti gharama yoyote wao ni ulinzi tu.
Asante sana Maxence melo kwa kulike hii comment yangu,hii ni mara ya pili napata "like" toka kwako Mkuu.hakatizi
Nielekeze kwako mkuu nije na kirikuu niwapakie kwa safari ya kwenda nao Iringa,maana kule kwetu ndio kitimoto yetu hiyo.Dah!penye miti kweli hapana wajenzi.
umetishaaa!Waache wa exercise uhuru wao wa kikatiba.
Nenda na kirikuu ukawachukue....
Anza kuchinja mmoja mmoja wataisha wote sio kwako tuu mtaa mzimaHabari wanajamvi,
Hapa kwangu huwa sifugi mbwa wala mfugo wowote, sasa basi walianza mbwa na mama yake wakawa wanalala mbele ya nyumba yangu
Kadri siku zinavyoendelea wanaongezeka, mpaka sasa ninavyoandika wamefika mbwa 11. Wamajilaza tu mbele ya nyumba yangu.
Kinachonishangaza hawaendi nyumba za jirani ni kwangu tu, huwa wanazunguka zunguka usiku kama kuna kitu watabweka kama hakuna wanalala tu usiku kucha, asubuhi wanaondoka. Ikifika mida ya saa 1 jioni wanaanza kuja.
Nikiwafukuza wataondoka lakini baada ya muda watarudi.
Hebu nisaidieni njia ya kuwaondoa
Wenu
CL

Huo ni ulinzi shirikishiHabari wanajamvi,
Hapa kwangu huwa sifugi mbwa wala mfugo wowote, sasa basi walianza mbwa na mama yake wakawa wanalala mbele ya nyumba yangu
Kadri siku zinavyoendelea wanaongezeka, mpaka sasa ninavyoandika wamefika mbwa 11. Wamajilaza tu mbele ya nyumba yangu.
Kinachonishangaza hawaendi nyumba za jirani ni kwangu tu, huwa wanazunguka zunguka usiku kama kuna kitu watabweka kama hakuna wanalala tu usiku kucha, asubuhi wanaondoka. Ikifika mida ya saa 1 jioni wanaanza kuja.
Nikiwafukuza wataondoka lakini baada ya muda watarudi.
Hebu nisaidieni njia ya kuwaondoa
Wenu
CL


Njia rahisi kabisa ya kuondokana na kero hiyo ni kuwachinja na kuwala nyama au ita jama wa Iringa kama watano hivi, hiyo kero itaondoka. hongera sana kwa kupata kitoweo cha bure, woo...woooo..wuuuuu!Habari wanajamvi,
Hapa kwangu huwa sifugi mbwa wala mfugo wowote, sasa basi walianza mbwa na mama yake wakawa wanalala mbele ya nyumba yangu
Kadri siku zinavyoendelea wanaongezeka, mpaka sasa ninavyoandika wamefika mbwa 11. Wamajilaza tu mbele ya nyumba yangu.
Kinachonishangaza hawaendi nyumba za jirani ni kwangu tu, huwa wanazunguka zunguka usiku kama kuna kitu watabweka kama hakuna wanalala tu usiku kucha, asubuhi wanaondoka. Ikifika mida ya saa 1 jioni wanaanza kuja.
Nikiwafukuza wataondoka lakini baada ya muda watarudi.
Hebu nisaidieni njia ya kuwaondoa
Wenu
CL
Habari wanajamvi,
Hapa kwangu huwa sifugi mbwa wala mfugo wowote, sasa basi walianza mbwa na mama yake wakawa wanalala mbele ya nyumba yangu
Kadri siku zinavyoendelea wanaongezeka, mpaka sasa ninavyoandika wamefika mbwa 11. Wamajilaza tu mbele ya nyumba yangu.
Kinachonishangaza hawaendi nyumba za jirani ni kwangu tu, huwa wanazunguka zunguka usiku kama kuna kitu watabweka kama hakuna wanalala tu usiku kucha, asubuhi wanaondoka. Ikifika mida ya saa 1 jioni wanaanza kuja.
Nikiwafukuza wataondoka lakini baada ya muda watarudi.
Hebu nisaidieni njia ya kuwaondoa
Wenu
CL
Habari wanajamvi,
Hapa kwangu huwa sifugi mbwa wala mfugo wowote, sasa basi walianza mbwa na mama yake wakawa wanalala mbele ya nyumba yangu
Kadri siku zinavyoendelea wanaongezeka, mpaka sasa ninavyoandika wamefika mbwa 11. Wamajilaza tu mbele ya nyumba yangu.
Kinachonishangaza hawaendi nyumba za jirani ni kwangu tu, huwa wanazunguka zunguka usiku kama kuna kitu watabweka kama hakuna wanalala tu usiku kucha, asubuhi wanaondoka. Ikifika mida ya saa 1 jioni wanaanza kuja.
Nikiwafukuza wataondoka lakini baada ya muda watarudi.
Hebu nisaidieni njia ya kuwaondoa
Wenu
CL