Jamii nzima na hata mama yake mzazi pia anaona mwanae hajakamilika bado hadi pale atakapopata familia kusoma, kupata mavyeo yote lakini kama huna familia nikimaanisha hata watoto pekee basi unakuwa hujakamilika. Ulishakaa ukajiuliza haya maisha tunayatafuta kwa ajili ya nani?
Umenena vyema kabisaaaa!! majukumu yenyewe siku hizi wanaume hawatimizi ipasavyo sasa roho inakuumia nini mwanamke anapotafuta pesa ili aweze kuwapatia watoto wake mahitaji muhimu? pambana kaka ili mke hasiwe kama huonavyo na ufikiriavyo!!
We hujawahi kufanya kwa watoto wa wenzio? Aaahaaa kama ulilifanya kwa watoto wa wenzio jua na wa kwako lazima atafanyiwa.. na ndio maana wanaume huwa wanaumia sana watoto wao wa kike wanapoingia kwenye ndoa coz anajua anachomfanyia mkewe na mwanae atafanyiwa vivyohivyooo!! Pambana kijana
Na pia naomba usiingize pesa yote kwenye biashara, weka pesa kiasi kwenye biashara then pesa nyengine wekeza hata kwenye vipande hili iwe inakuletea faida kidogokidogo huku ukiangalia upepo wa biashara ukoje
utatafuta watoto bila kumpetipeti mwanamke? huwezi kumkimbia mwanamke hata ufanye nini la sivyo na hao watoto katotoleshe kuku basi kama unaweza ili uepukane na mtu anayeitwa mwanamke!! usikejeli mwanamke wakati lazima umuhitaji kwa jinsi yoyote ile iwe kwa kutaka au pasipo kutaka...
Nimekujibu kutokana na wewe humo ndani kuandika kwamba anayevunja ndoa ni mwanamke tu au mwanamke ndio mwenye makosa tu!! imenishangazaaaaaaaa!! inaonekana ufikiriaji wako ni kimfumo dume sana uubadilishe la sivyo kila mwanamke utamuona mbaya mbele yako.. Kuna muda wa wewe mwanamme utambue kama...
Hivi kwa nini kiola kosa likitokea kwenye ndoa mwanamke ndio anakua kazorotesha? kwa taarifa yako sasa, ndoa nyingi zinazorotshwa na wanaume.. mwanaume akishakua na mchepuko huko huwa hawawezi kurizisha ndani na mwanamke huwa anajua kabisa hila anaweza hasikwambie akakuangalia tu.. sanasana kama...
Sema mshukuru Mungu kwa kuwa bado upo kazini na kizuri zaidi ulianza kazi katika umri mdogo sana hila ungekuwa umeajiriwa labda na miaka selathini sasa ndio ungeteseka zaidi ya unavyoteseka sasa hivi.. mshukuru tu Mungu kwa kweli maana ungeweza hata kukwaa magonjwa katika umri huo mdogo, cha...
Wewe kaka mwanao angekuwa na hii shida ungekaa kimya na kuamini kuwa hana tatizo? hospital zetu huwa zina mtindo wa kukwambia tatizo baadae sana huku umeshapoteza muda wa kumshughurikia mapema..
Hili tatizo sio la kawaida kwa mtoto, mtoto lazima acheze na kuongea hata kama anachoongea hakieleweki.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.