Hotuba ya Rais Magufuli Vs Freeman A. Mbowe

Hotuba ya Rais Magufuli Vs Freeman A. Mbowe

Acha ujinga wewe, hakuna sehemu inayoitwa Limpompo huko South Africa....Get your mind right.......Kuna Limpopo ipo mpakana mwa Mozambique na South Africa..
Unaujua ule wimbo wa Malwedhe wa King Monada? Mimi nauimba wote..,Sasa huyo jamaa ni mtu wa wapi? Au mmekariri Wazulu na Waxhosha
 
Na Elius Ndabila
0768239284


Jana sikupata muda wa kusikiliza hotuba ya Mh Mbowe, lakini leo nimeingia kwenye mitandao hususani mtandao wa twitter. Nikiwa ninapitia kwenye kurasa mbalimbali nimejaribu kuona baadhi ya twitter zilizonukuu hotuba ya Mh Mbowe na nikaona hata ukurasa wa CHADEMA ukiwa umeandikwa Mh Mbowe atalihutubia taifa(jana).


Makala hii fupi haita jikita kuchambua hotuba ya Mh Mbowe kwani sijaisikiliza zaidi ya kusoma twitter, nikisha sikiliza hotuba ya Mh Rais ndipo nitapata wasaa wa kumsikiliza Mh Mbowe. Lakini hapa ninahitaji kupata ufahamu wa pamoja ili kama kuna dhana ya upotoshaji tuikemee?


Ni kweli kuwa Mh Mbowe anayo anayomamlaka ya kulihutubia Taifa? CHADEMA wanapotosha ili kupata attention? Nani mwenye ligalilty na legitimacy ya kulihutubia Taifa?


Nijuavyo mimi, na ninadhani wabobevu wa humu jf mtanisaidia ni kuwa Mh Mbowe anayo mamlaka ya Kuzungumza na vyombo vya habari, Kuzungumza na wanaCHADEMA na kuzungumza na WanaHai lakini hana mamlaka(authority) ya kuzungumza na Taifa.


Mtu mwenye uwezo na mamlaka ya kuzungumza na Taifa ni Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mh Dkt John Joseph Pombe Magufuli. Huyu popote pale awapo anapozungumza anakuwa anazungumza na Taifa na inakuwa ni sauti ya mamlaka. Ndiyo maana chochote anachoagiza Rais ni sheria. Kwa mazingira hayo kama mwenye uwezo wa kuzungumza na Taifa ni Rais basi maamlaka anaweza kuwa nayo Makamu wa Rais, Waziri Mkuu na wasaidizi mbalimbali wa Rais wakiwemo Mawaziri.

Viongozi wa vyama vya siasa hawana uwezo wa kuzungumza na Taifa wala maneno yao si utekelezaji kama alivyo Rais. Wao wanaweza kutumia vyombo vya habari kushauri au kukosoa lakini si KUZUNGUMZA NA TAIFA.

Kuzungumza na Taifa ni neno zito, si neno la mchezo mchezo. Ninadhani ilifaa kusema Mh MBOWE Mwenyekiti wa CDM atazungumza na vyombo vya habari na si kusema atazungumza na Taifa.

Mwisho tuendelee kujikinga na corona kwa kufuata maelekezo ya serikali na wataalamu.

karibu kuwekeza Ileje. Tunayo ardhi ya kutosha yenye rutuba.

Ameshazungumza na taifa sasa na ameshawahi kuzungumza na atazungumza tena na tena siku zijazo...

Kuna ibara yoyote ya katiba ama kifungu chochote cha sheria yoyote ya nchi hii imevunjwa na CHADEMA/MBOWE?

Ana haki ya kuzungumza na watanzania wote kila inapobidi....
 
Jamiiforums haifanani? Tena acha jamiiforums, ni forum moja kenge wewe!

Wewe andika mada yako, tumia takwimu za JF, leta hapa. Watu watajadili...

Kuniita mimi "Kenge" sijui umepata faida gani zaidi ya ku expose umasikini wako wa kifikra...
 
Ya magufuli ilikwenda live kwenye vituo vyote vya televisheni na redio,pia ilirudiwa tena saa moja usiku,pia utafiti wako haukugusa channel.ya ikulu mawasiliano.

Ya mbowe ilipatikana vichochoroni,ndio mana ukaona hao 1.3 wamejazana,ukute hao ni wote wa ughaibuni
Yaani katika watanzania milioni 55,unajivunia kutazamwa na watu milioni 1.3!

..hotuba ya Mbowe nayo ilipaswa kurushwa live ili wananchi waweze kupima.

..kwenye nchi za wenzetu hotuba za chama tawala na chama kikuu cha upinzani hupewa nafasi sawa na vyombo vya habari ya taifa / umma.
 
Back
Top Bottom