Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,541
- 88,494
Kwa mantiki hiyo unaongelea zile ndoa ambazo mume ndiyo anagharamikia kila kitu kuanzia nyumba mke hadi watoto maana boss ndiye anayemlipa mshahara mfanyakaziNani anakunyanyasa? wewe boss wako kazini anapokuamulia na kukuagiza au kutokubaliana na jambo lako anakuwa anakunyanyasa?
Haiwezi kuwa sawa kwa mwanamke maana kuna aliyeolewa na aliyeoa,kuna kiongozi na msaidizi na kuna mwenye kauli ya mwisho na ambae anategemea vetting ya usahihi wa kauli yake.The boss is always right kumbuka hilo
Haya unazungumziaje hizi ndoa za siku hizi ambazo asilimia kubwa wote mwanaume na mwanamke wanatafuta pesa na wote wanasaidiana majukumu ya kifamilia