Maalumu kwa wanaume wanandoa

Maalumu kwa wanaume wanandoa

Hata yeye Kani attack personal sijui jealous wivu havikuhusika na topic na answer ka yeye alivojibu kimipasho
Hakutaja au kudharau iman yako lkn, kama me ningekuwa wewe ningeomba radhi kisha nikaendelea na kupambana nae kwenye hoja.
 
Hahaaa hao watoto na familia yako Lord have mercy kah Yani mwanaume ka wewe umepataje mke I wonder ka wewe huko hivo mkeo si ndio atakuwa gizani kabisa lile Totoro, na hao watoto mtawaharibu with such poor mentality.
I feel sorry for ur wife kwa kweli kuwa na mume design yako yataka moyo.

Mimi siwezi date mwanaume design yako napenda wanaume wenye akili kubwaz big heart who can think beyond measures Sasa mwanaume mwenye maoni ya kale wa Nini Sasa, anayewaza kutokujiamini, mhhhh Yani a man mwenye all kind of stereotyping wa Nini cheeh
Basi nipe hata thumb up kidogo, pamoja na kukuita "Sweetheart" jina zuri hutaki hata kunipa credit kwa hilo
 
Habari wanajamvini, ni matumaini yangu mnaendelea vyema na majukumu yenu.

Embu twende moja kwa moja kwenye hoja, hivi wewe kama mume ndani ya nyumba yako, pindi mwenzako anapofanya tukio la kukukera, linaweza kuwa kubwa sana au la kawaida, lakini ikabaki kuwa amekwazika sana na alichofanya. Je, huwa unatumia njia gani kutatua?

Ni wazi na ukweli usiopingika kuwa kila ndoa ina changamoto yake, kitendo cha kukaa au kuishi nyumba moja na mke kwa muda mrefu, huleta hali fln hv ya kuchokana au kuonana wa kawaida, na hadi kuepelekea wanawake wengine kutotimiza majukumu yao ya ki ndoa na kimahusiano Kama ilivyokuwa awali. Ni ngumu sana kuwa na muendelezo wa mapenzi au uhusiano imara kwa wana ndoa kwa muda mrefu, hata kama kuna vitu mtakuwa mnavifanya ili kurutubisha mapenzi au ndoa yenu, bado kuna mmj wenu au wote atakuwa mnafiki, na hupelekea kusababisha kutokea kwa makosa kadhaa kwenye ndoa au mahusiano.

Mfano wa makosa hayo yanaweza kutokea Ni Kama dharau toka kwa mke, kuchepuka, kutokuthamini mume ( mke hafanyi tena mmb kwa ajili ya mume), kujibishana na mume, n.k, hali zote hizi husababisha hasira isiyoelezeka, ikifikia hatua hii ndipo kila mwanaume huwa na njia yake ya ku "deal" na changamoto hy.

SWALI:
Wewe huwa unafanyaje kati ya haya?

Unampiga mwanamke kutuliza hasira na hujishughulishi ku sort tatizo?

Unakaa chini na kujadiliana nae?

Unauchuna tu?

Unamfukuza arudi kwao?

Unalipa kisasi?

Unatafuta watu wa kuwasuluhisha, Kama wazazi, mshenga, viongozi wa dini, Wana familia n.k?

Je, unaamini katika kupiga mwanamke ndy suluhisho au ndy kuongeza petrol ktk moto? Kama hupigi nini huwa unafanya ku prove ur point?

Embu funguka .
Hivi kwa nini kiola kosa likitokea kwenye ndoa mwanamke ndio anakua kazorotesha? kwa taarifa yako sasa, ndoa nyingi zinazorotshwa na wanaume.. mwanaume akishakua na mchepuko huko huwa hawawezi kurizisha ndani na mwanamke huwa anajua kabisa hila anaweza hasikwambie akakuangalia tu.. sanasana kama mimi nakwambia kabisa hunirizishi kwa hiyo kazi kwako kurudisha hisia penzi liendelee hama uniruhusu nigongwe na watu wengine coz siwezi kukusubiria wewe wakati starehe yako unaipata sehemu nyengine je mimi anipe nani hiyo starehe? otherwise uwe na matatizo ya kiafya nitaelewa lakini isiwe ile ya kuniona huyu nae wa nini mieee aahaa
 
Hivi kwa nini kiola kosa likitokea kwenye ndoa mwanamke ndio anakua kazorotesha? kwa taarifa yako sasa, ndoa nyingi zinazorotshwa na wanaume.. mwanaume akishakua na mchepuko huko huwa hawawezi kurizisha ndani na mwanamke huwa anajua kabisa hila anaweza hasikwambie akakuangalia tu.. sanasana kama mimi nakwambia kabisa hunirizishi kwa hiyo kazi kwako kurudisha hisia penzi liendelee hama uniruhusu nigongwe na watu wengine coz siwezi kukusubiria wewe wakati starehe yako unaipata sehemu nyengine je mimi anipe nani hiyo starehe? otherwise uwe na matatizo ya kiafya nitaelewa lakini isiwe ile ya kuniona huyu nae wa nini mieee aahaa
Umeandika pweinti ( pointi)
 
Upo sahihi madam, hii inatokea kwa pande mbili, lkn hapa niliangalia kwa upande mmj na ndy maana niweka title kwa "wanaume wanandoa".

Ila ukigongwa nje unamkomoa nani sasa? Najua utapata relief ya muda ila impact will still be there. Kwanini usikae chini na mwenzako myajenge, na Kama hamtoelewa then mjipime kama Kuna haja ya kuendelea kuwa wanandoa.
Hivi kwa nini kiola kosa likitokea kwenye ndoa mwanamke ndio anakua kazorotesha? kwa taarifa yako sasa, ndoa nyingi zinazorotshwa na wanaume.. mwanaume akishakua na mchepuko huko huwa hawawezi kurizisha ndani na mwanamke huwa anajua kabisa hila anaweza hasikwambie akakuangalia tu.. sanasana kama mimi nakwambia kabisa hunirizishi kwa hiyo kazi kwako kurudisha hisia penzi liendelee hama uniruhusu nigongwe na watu wengine coz siwezi kukusubiria wewe wakati starehe yako unaipata sehemu nyengine je mimi anipe nani hiyo starehe? otherwise uwe na matatizo ya kiafya nitaelewa lakini isiwe ile ya kuniona huyu nae wa nini mieee aahaa
 
Wewe mwenyewe waitwa abdula nyie huwaza tu ngono na kuoa hovyo badala ya kuwaza maendeleo mnazaa utitiri wa watoto Ada tu zinawashinda kila kipindi Cha mfungo kuoa huo si umalaya.
Tuwekee ushahidi hapa.
 
Hapana ,,,,two wrongs don't make it right....... Humuombi yeye radhi unaomba radhi kwa wote watakao guswa na kauli yako.......pamoja na umajununi wako, unaonekana una kauungwana kwa mbali, being humble doesn't cost you a thing, pls omba radhi!
Siombi radhi Wala Nini maana hata yeye aliingiza vitu vya wivu sijui Nini alitegemea Nini.
 
Hapana ,,,,two wrongs don't make it right....... Humuombi yeye radhi unaomba radhi kwa wote watakao guswa na kauli yako.......pamoja na umajununi wako, unaonekana una kauungwana kwa mbali, being humble doesn't cost you a thing, pls omba radhi!
Mimi huwa si mnafiki wa nafsi yangu I hit direct my point no meandering like river. Yeye kaanza utopolo na mie nikamalizia
 
What is feminist kwanza?
Feminist anavunjaje ndoa kwani yeye ni mahakama?
Ndio hatuna ndoa wenye ndoa wanavuta hewa ya tofauti na kawaida au wanapumua tanzanite?
Umejuaje Wana wivu wewe kiupaumbele ka ni ngono au ndoa sio wote wanafikiria hivo.
Wewe mwenyewe waitwa abdula nyie huwaza tu ngono na kuoa hovyo badala ya kuwaza maendeleo mnazaa utitiri wa watoto Ada tu zinawashinda kila kipindi Cha mfungo kuoa huo si umalaya.
Mambo vp Dada yngu kwema nakuomba muendee taratibu mambo ya Iman sio mazuri kwenye Uzi wenu...

Sent from my ANE-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Hahaaa hao watoto na familia yako Lord have mercy kah Yani mwanaume ka wewe umepataje mke I wonder ka wewe huko hivo mkeo si ndio atakuwa gizani kabisa lile Totoro, na hao watoto mtawaharibu with such poor mentality.
I feel sorry for ur wife kwa kweli kuwa na mume design yako yataka moyo.

Mimi siwezi date mwanaume design yako napenda wanaume wenye akili kubwaz big heart who can think beyond measures Sasa mwanaume mwenye maoni ya kale wa Nini Sasa, anayewaza kutokujiamini, mhhhh Yani a man mwenye all kind of stereotyping wa Nini cheeh

Bibie samahani kidogo kuna baadhi ya vitu au maswali naomba unijibu kulingana na hiki ukichokiandika.

1. Akili kubwa unaijuaje au ina sifs gani au hata kwa ujumla ukiweza kunipa sifa za mtu mwenye akili, utakuwa umenisaidia sana.
2. Wewe ni Feminist ?

Ahsante.
 
Ushahidi gani wakati kila kitu Kiko wazi huitaji PhD kujua jamani
Wengine hasa mimi na mfano wangu, hatujaliona hilo, sasa wewe ambaye umeliona unaonekana una ujuzi mno wa hili, mimi ndiyo naomba unipatie ushahidii na ziada ya swali ni je kwako wewe maendeleo ni nini hasa kuwa na elimu au kuelimika au kuwa na mali au kipato kikubwa ?
 
Bibie samahani kidogo kuna baadhi ya vitu au maswali naomba unijibu kulingana na hiki ukichokiandika.

1. Akili kubwa unaijuaje au ina sifs gani au hata kwa ujumla ukiweza kunipa sifa za mtu mwenye akili, utakuwa umenisaidia sana.
2. Wewe ni Feminist ?

Ahsante.
Akili kubwa ni inayofikiria beyong or outside the box.
Hyo feminist ni nyie mnaisema ndo nikauliza do you guys know the real meaning of feminist au mumecrelishwa tu
 
Mbona hauhoji alicho comment hapo juu au vile haijakugusa, so unatetea ulipoguswa tu hyo ni haki kweli?
Nitasema kweli daima fitina kwangu mwiko
Hpn Dada yngu ulitakiwa kumshambulia binafsi ila km unaona nmekosea samahani sna kila la kheri...

Sent from my ANE-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Wengine hasa mimi na mfano wangu, hatujaliona hilo, sasa wewe ambaye umeliona unaonekana una ujuzi mno wa hili, mimi ndiyo naomba unipatie ushahidii na ziada ya swali ni je kwako wewe maendeleo ni nini hasa kuwa na elimu au kuelimika au kuwa na mali au kipato kikubwa ?
Kuwa na hekima na vyote vyote
 
Back
Top Bottom