kadada wa pili
JF-Expert Member
- Mar 10, 2014
- 201
- 106
Habari naomba kuuliza hivi hili fao la uzazi kwa watumishi waliojifungua bado lipo au limeshafutwa kazi tunayopata kujaza fomu na majibu mnayotupa tukifuatilia ni bora mseme halipo watu wajue.
Me nimejaza form tangu mwaka juzi mwezi wa nne sijapata jibu lolote mpaka sasaNdio lipo unaomba ndani ya miez mitatu, ila kupata sijajua
ila maajabu kuna waliozaa mwaka jana wengine wanasema wamelipwa sasa sijui mpk utoe rushwa au ndo tunapoozwaMe nimejaza form tangu mwaka juzi mwezi wa nne sijapata jibu lolote mpaka sasa
ila maajabu kuna waliozaa mwaka jana wengine wanasema wamelipwa sasa sijui mpk utoe rushwa au ndo tunapoozwa