Recent content by smwansasu

  1. S

    Ukabila TFF: Jamal Malinzi jibu/fafanua hili kabla sumu haijaenea

    Picha kamili itapatikana baada ya Malinzi kutoa ufanunuzi
  2. S

    Kikwete siyo safi! - yes I said it!

    Nchi zote duniani hupata viongozi wanaozistahili. Mkiwa na kiongozi mzuri ni kwa kuwa ndiyo stahili yenu. Vivyo hivyo mkiwa na viongozi wezi wanaojali matumbo yao ndiyo stahili yenu! Na sababu ni ndogo tu. Kwa kuwa mnakubali hali hiyo! kama Arusha yameanza kuonyesha njia.
  3. S

    Pinda ni masikini kweli...tuache unafiki.

    Please do not compare him the Sokoine. He was from another planet. Mtoto wa mkulima amekataa gari la kifahari. Lakini ni mtoto wa mkulima huyo huyo mwenye dhamana ya kuadhinisha ununuzi wa magari hayo. Angekataa kuadhinisha in the first place!
  4. S

    Majina na Tabia zake

    Anna Tibaijuka Anna Makinda Anne Kilango Anna Abdallah ............. Ongezeni mengine na muwape watoto wenu wa kike jina la Anna!
  5. S

    UDOM na U-CCM

    UDOM is going to be the best University in Tanzania. Hii itachukua muda lakini si zaidi ya miaka kati ya mitano mpaka kumi ijayo. Haya mengine ni upuuzi tu. Sijui udini na ujinga mwingine wa aina hiyo. Mfano wa UDOM katika Afrika nzima uko wapi? Watanzania tumezoea eti kwenda kujifunza kwa...
  6. S

    New Cabinet: Baadhi ya Majina ni Haya Hapa!

    What matters to me is the size of the cabinet. An overbloated cabinet is very expensive. We do need some experienced people among them but not an enviromentally friendly cabinet with a lot of recycled ministers from Nyerere/Mwinyi era. Wape vijana wachache wachape kazi
  7. S

    Hawa nao wamehusika kwenye uchakachuaji kwa kimedia

    Wapo waandishi wenye kujali taaluma yao hapa Tanzania. Wapo akina Ulimwengu, Johnson Mbwambo, nk Pia walikuwepo akina Katabaro tena enzi hizo ya vigazeti vichache vyenye kujikomba kwa wakubwa!!
  8. S

    Tanzania's National Electoral Commission is toothless

    Jamani si kwamba tu tunahitaji muundo mpya wa Tume huru, bali hata katika hiyo tume tunahitaji vijana kama tulivyo pata wengi katika ubunge. Akina mzee Lewis Makame muda wao umepita. Ni jamii ya ya akina Kivuitu hao! Wanalinda maslahi ya waliowaweka hapo! Fikiria tu mtu kama Halima Mdee ni...
  9. S

    Tanzania's National Electoral Commission is toothless

    Ni faraja kubwa sana kwamba watu kama Generali Umlimwengu bado wapo Tanzania. Ni mtu aliye tayari kutetea kile anacho amini kuwa ni sahihi hata walitaka kumtisha na mambo ya uraia. Ana uzalendo na nchi hii kuliko huyo mtu aliye fanya uharamia wa kumnyima uraia.
  10. S

    GE2010 Ushauri wa bure kwa Slaa

    Dr Slaa amefika hapo alipo kwa sababu anastahili. Kama safari hii upinzani haujafanikiwa bado kuna kazi kubwa kuwaandaa wananchi kwa ajili ya uchaguzi wa 2015. Kwa CCM sitegemei mabadiliko yoyote ni ufisadi kwa kwenda mbele. Sasa ni nani bora wa kuhamasisha watanzania kwa vitendo kama si Dr...
  11. S

    Is Fina Mango back to Clouds FM?

    Fina Mango ana uwezo mkubwa wa kuchambua mambo na uelelewa wake ni mpana. Toka aondoke sina hamu kabisa ni hiyo power breakfast!! Namshauri aingie kwenye anga za vipindi kama Talk Show awe ndiyo Oprah wetu. Ajaribu kuishawishi station moja ya TV
  12. S

    TCU hopeless kabisa!

    TCU wajiweke sawa katika masuala ya tecknologia ya mawasiliano (ICT) ili kufanikisha mambo yao. Matokeo yanatoka kwao lakini wao wenyewe hawawezi kuyaweka. Mtu inabidi apekue chuo kimoja baada ya kiingine ili ajue kapata wapi. Inaelekea hata server yao haina uwezo kabisa. Nahisi kitengo chao...
  13. S

    TCU wamezidiwa uwezo?

    Ndugu Gama, SAUT wametoa majina ya waliochaguliwa kujiunga na chuo chao tu. Ningetegemea vyuo vingine afuate mfano huo na msongamano website ya TCU usingekuwepo.
  14. S

    TCU wamezidiwa uwezo?

    Baada ya kuhairisha kutoa majina ya waliochaguliwa kuingia vikuu kwa mwezi mmoja sasa TCU wameanza lakini kwa matatizo makubwa. Website yao haipatikani kabisa uwe nje au ndani ya Tanzania. Kwa nini wasitumie ujanja wa baraza la mitihani la taifa, NECTA ambao huweka matokeo sehemu mbalimbali ili...
Back
Top Bottom