Recent content by Smart Contract

  1. Smart Contract

    JamiiForums Tanzania Story za uchawi ni fiction story (stori za kubuni ) na zipo sana kwa ajili ya jamii ya watu wajinga tu

    Kajaribu ndo utajua hujui sio mnaleta kelele jf ingieni field si mnataka kuprove, Wanaosema upo washakutana nayo na wamshaprove ila hawawezi kukupa proof maana hata wao ni wahanga sio wachawi, We unayekazania kuprove nenda kauone huo ujinga ushapewa location, tushauchoka hivyo visayansi vyenu...
  2. Smart Contract

    JamiiForums Tanzania Story za uchawi ni fiction story (stori za kubuni ) na zipo sana kwa ajili ya jamii ya watu wajinga tu

    Wanaopinga haupo wengi wao ndo wachawi hawataki siri zao zivuje maana uchawi ni siri sana hata umpe mtu billions of dollars hawezi kuprove hadharani kwa sababu jamii ya kichawi itamuua, au inaweza kumuua kabla hata hajajaribu kuprove Wanaosema uchawi upo ni wale waliowahi kukutana na mambo hayo...
  3. Smart Contract

    JamiiForums Tanzania Story za uchawi ni fiction story (stori za kubuni ) na zipo sana kwa ajili ya jamii ya watu wajinga tu

    Ahsante sana hivi vitoto vya elfu mbili kusoma Sayansi ya form 6 vinajikuta vijuaji sana kumbe havijatembea tu anga za watu. Haya nyie mnaobisha huku mmekaa kwenye sofa la shemeji, fuateni haya maelekezo afu mje mtupe mrejesho kama mtarejea lakini, si mnataka kuhakikisha kama upo au haupo.
  4. Smart Contract

    JamiiForums Tanzania Kwanini Hapa Tanzania Matajiri Wengi Wakubwa Karibu Wote ni Waislamu? Je Dini ya Wakristo Inawanyonya Waumini Wake?

    Sio waislamu sema waarabu, mnapenda kujipendekeza kwa waarabu ndo maana Dubai wanawa..
  5. Smart Contract

    JamiiForums Tanzania Drake ni G.O.A.T, wamejaribu kukandamiza carreer yake ila mwana bado yupo hai, tangu jana nakula hits after hits kwenye hizi projects zake mpya

    Huu ndio ukweli, Drake nimewahi kumsikiliza akiwa na Rihhana what's my name na Kuna Ile wapo na lil Wayne basi, baada ya hapo sijawahi muelewa, na hata hizo nyimbo enzi hizo nilisikiliza kwa sababu kacollabo na wakongwe ninao wakubali Kiufupi sijawahi kumwelewa Drake style yake ya kuimba eti ndo...
  6. Smart Contract

    JamiiForums Tanzania Kwani Kuna ulazima wa watu kuchangia mchango wa harusi?

    Naunga hoja mkono
  7. Smart Contract

    JamiiForums Tanzania Namna ya kujilinda na kuwa salama unapokuwa Bar

    Sijui kwa Nini sijawahi kuona raha ya kwenda bar, Kwanza watu wengi, makelele mara mziki mara hivii Aargh mi glossary kwa manka panatosha, ntafanya yangu narudi ghetto kulala
  8. Smart Contract

    JamiiForums Tanzania Kwanini vijana wa Tanzania ni rahisi sana kuamini utapeli wa forex trading?

    Professional traders wanasoma Kila siku soko linabadilika unadhani forex ni betting, hapo as a retail trader unapambana na mabenk makubwa na financial institution kibao. Usiposoma utapigwa tu
  9. Smart Contract

    JamiiForums Tanzania Kwanini vijana wa Tanzania ni rahisi sana kuamini utapeli wa forex trading?

    Hawa wanapigwa kwa sababu wavivu kusoma na kujifunza wanawapa watu hela watrade on their behalf, forex trade mwenyewe ndo utaona matunda
  10. Smart Contract

    JamiiForums Tanzania Viongozi wa CHADEMA na wanaharakati leo ikibidi msilale majumbani kwenu

    Unaposema Dunia mzima, ni Dunia gani unaizungumzia
  11. Smart Contract

    JamiiForums Tanzania Ukitaka kufanikiwa kibiashara, kaa mbali na walioajiriwa, hawawezi kukushauri kitu

    Balidi basi muige Mo na we uwe kwenye list ya Forbes
  12. Smart Contract

    JamiiForums Tanzania Ukitaka kufanikiwa kibiashara, kaa mbali na walioajiriwa, hawawezi kukushauri kitu

    Hata Waziri, mbunge, DC ni mwajiriwa pia na unapanda mabasi anayomiliki 😅
  13. Smart Contract

    JamiiForums Tanzania Ukitaka kufanikiwa kibiashara, kaa mbali na walioajiriwa, hawawezi kukushauri kitu

    Uchuuzi? Yaani mtu atoe Mali dukani au store kwake au shambani kwake au ashushe mzigo toka china umuite mchuuzi, au unaongelea biashara za kina Mo, kama ni hivyo endelea kubwabwaja maana sidhani kama wanahitaji ushauri wako. Ila deep down najua unawashauri unga mwana unga mwana wenzako wa...
  14. Smart Contract

    JamiiForums Tanzania Ukitaka kufanikiwa kibiashara, kaa mbali na walioajiriwa, hawawezi kukushauri kitu

    Na hizo bidhaa zako uwauzie wafanyabiashara wenzako. Maana waajiriwa wa Sasa hivi sio wa mwaka tisini, waajiriwa wenyewe wanabishara zao tunaungishana wenyewe kwa wenyewe, Whatsapp status za my colleagues hamna kitu unataka ukakosa Tena free delivery mpaka mezani ofisini, Haina ulazima wa...
  15. Smart Contract

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Hawaeleweki mpaka saivi makato bado
Back
Top Bottom