Hayo maushauri yao wapelekee watoto wao ili wafanikiwe, unanishauri mtu usiyenijua hata nikifanikiwa hawatofaidika hata na mia yangu.
Watuache MATAKO YAO
Asee wanazingua kinyama hapa tunajuzana mzigo kama umetema, wanaanza kuleta mada za kiboya boya sijui investment, side hustle mara mademu, hivi kuna mtu mzima aliyeajiriwa na serikali ana smartphone ambaye hajui kuhusu investment sijui side hustle.
Huu Uzi lengo ni Moja tu msituchoshe na hizo...
Mi nikipata dollar500 kwa mwezi mbona hela mzuri tu kwa usawa wangu, siwezi kuishindana na mabillionea waliokodisha professional traders wawafanyie trading wao wanatoa mtaji tu, Hedge funds
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.