Recent content by Smart Contract

  1. Smart Contract

    JamiiForums Tanzania YouTube kwisha Habari yake imepata mpinzani balaa

    Yaani anime na gaming ndo umeona vitu vya maana vya kuishindana na mkongwe mwenye Kila aina ya content hebu kuwa kiakili
  2. Smart Contract

    JamiiForums Tanzania Mume mchumba anatafutwa

    So desperate
  3. Smart Contract

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Dah umenitangulia kuuliza wajuzi tupeni taratibu watu tufanye maamuzi
  4. Smart Contract

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Jumatatu watatuua mkuu
  5. Smart Contract

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Braza we ukiongeaga nikiangalia salio nakuta kweli, ngoja nicheki balance
  6. Smart Contract

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Hawa CRDB vipi au ndo wanakalukuleti wakipiga sh. Kumi kumi kwa watumishi wote watapata bei gani
  7. Smart Contract

    JamiiForums Tanzania Utafiti wangu: Watoto wa kati kati katika uzao wamejaa matukio sana

    Hapo kihivyo nimetia chumvi kidogo
  8. Smart Contract

    JamiiForums Tanzania Utafiti wangu: Watoto wa kati kati katika uzao wamejaa matukio sana

    Uko sahihi asee si kwetu wa5 ila mi ndo wa katikati yaani wa3 sifa zote ulizotaja ninazo kasoro ya uchangamfu nyumbani mi ni introvert ila nikiwa mtaani na marafiki tuloshibana nachangamsha kijiwe mpaka wasiponiona wanakuja kuniulizia home, Hapo ndo bi mkubwa huwa anachoka yaani huyu na ukimya...
  9. Smart Contract

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Maulidi ni Jumanne kwa hiyo leo ikipita kavu, Jumatatu pia ni siku ya kazi sema kutakuwa na kazi kufika kazini wengi najua watausubiri nyumbani ili waunganishe na Maulidini Hata mi ntafanya hivyo siwezi kudunda na kikoti cha suti afu tumbo linaunguruma hovyo
  10. Smart Contract

    JamiiForums Tanzania Katika biashara mbaya zaidi duniani ni ya madawa ya kulevya. Haitaki utani kabisa

    Katika biashara sijui na sina hata story zake zaidi ya movie za kimexico ni hii, kipindi naanza shule dar miaka ya 20s nilikuwa nikiwaona mateja wanavyotema udende na kusinzia dah, nilimwambia Mungu pombe nakunywa, kush sawa ila kikombe hiki kiniepuke
  11. Smart Contract

    JamiiForums Tanzania Card B; Siwezi kumpikia mwanaume kama una njaa si uagize

    Kuna mtu kashawahi kupikiwa na kahaba, yaani Cardi b naye ni mwanamke wa kuolewa huo umaarufu wenyewe kaupata kwa umalaya tu na kucheza uchi jukwaani (stripper ) maana mpaka leo hii mi sijawahi kusikia hata kwa bahati mbaya nyimbo yake
  12. Smart Contract

    JamiiForums Tanzania Pishi la nyoka: mishkaki ya cobra

    Kuna tofauti mkubwa kati ya venom na poison venom inakudhuru ikiingia kwenye damu, ila poison inakudhuru kwa kuila, nyokhana poison ana venom ni mpaka akung'ate ndio utaona madhara
  13. Smart Contract

    JamiiForums Tanzania Tuliowahi kuchapiwa tukutane hapa.. ulichukua maamuzi gani? Binafsi yule jamaa aliyenichapia hatokaa asahau

    Sina ujinga wa kuoa kwa makaratasi, kwangu ndoa ni maridhiano kati ya wawili tupendanao
  14. Smart Contract

    JamiiForums Tanzania Tuliowahi kuchapiwa tukutane hapa.. ulichukua maamuzi gani? Binafsi yule jamaa aliyenichapia hatokaa asahau

    Mwanamke akinicheat hiyo ndo tiketi ya kurudi kwa mamaake na simpi hata nauli😎
Back
Top Bottom