Kajaribu ndo utajua hujui sio mnaleta kelele jf ingieni field si mnataka kuprove,
Wanaosema upo washakutana nayo na wamshaprove ila hawawezi kukupa proof maana hata wao ni wahanga sio wachawi,
We unayekazania kuprove nenda kauone huo ujinga ushapewa location, tushauchoka hivyo visayansi vyenu...
Wanaopinga haupo wengi wao ndo wachawi hawataki siri zao zivuje maana uchawi ni siri sana hata umpe mtu billions of dollars hawezi kuprove hadharani kwa sababu jamii ya kichawi itamuua, au inaweza kumuua kabla hata hajajaribu kuprove
Wanaosema uchawi upo ni wale waliowahi kukutana na mambo hayo...
Ahsante sana hivi vitoto vya elfu mbili kusoma Sayansi ya form 6 vinajikuta vijuaji sana kumbe havijatembea tu anga za watu.
Haya nyie mnaobisha huku mmekaa kwenye sofa la shemeji, fuateni haya maelekezo afu mje mtupe mrejesho kama mtarejea lakini, si mnataka kuhakikisha kama upo au haupo.
Huu ndio ukweli, Drake nimewahi kumsikiliza akiwa na Rihhana what's my name na Kuna Ile wapo na lil Wayne basi, baada ya hapo sijawahi muelewa, na hata hizo nyimbo enzi hizo nilisikiliza kwa sababu kacollabo na wakongwe ninao wakubali
Kiufupi sijawahi kumwelewa Drake style yake ya kuimba eti ndo...
Sijui kwa Nini sijawahi kuona raha ya kwenda bar,
Kwanza watu wengi, makelele mara mziki mara hivii
Aargh mi glossary kwa manka panatosha, ntafanya yangu narudi ghetto kulala
Professional traders wanasoma Kila siku soko linabadilika unadhani forex ni betting, hapo as a retail trader unapambana na mabenk makubwa na financial institution kibao. Usiposoma utapigwa tu
Uchuuzi? Yaani mtu atoe Mali dukani au store kwake au shambani kwake au ashushe mzigo toka china umuite mchuuzi, au unaongelea biashara za kina Mo, kama ni hivyo endelea kubwabwaja maana sidhani kama wanahitaji ushauri wako.
Ila deep down najua unawashauri unga mwana unga mwana wenzako wa...
Na hizo bidhaa zako uwauzie wafanyabiashara wenzako.
Maana waajiriwa wa Sasa hivi sio wa mwaka tisini, waajiriwa wenyewe wanabishara zao tunaungishana wenyewe kwa wenyewe, Whatsapp status za my colleagues hamna kitu unataka ukakosa Tena free delivery mpaka mezani ofisini, Haina ulazima wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.