mambo ya kiroho/kimungu au ya ulimwengu usioonekana, niyakufanya wewe mwenyewe na roho yako. Maana mungu ni roho na roho iko ndani yako na wewe upo ndani ya ulimwengu wa kiroho.
Itoshe kusema hakuna padre wala katekista, hakuna askofu, nabii wala mchungaji, hakuna sheikh wala ustaadh anayeweza...
bonge moja ya movie sema kuielewa lazima utulize kichwa ufuate mstari kwa mstari, pia inagusia na white supremacy kwa black american, how whites perceive blacks
huyu mzee tunafanana vichwa,
mi na sherehe ni maji na mafuta, tangu najitambua kwa ukoo wetu mzima nimewahi kuhudhuria harusi mbili tu zote za mabrother angu bloody,
wengine mi huwa natoa mchango tu ila harusini mwiko.
sometime najiuliza siku na mimi naoa sijui nitatuma mwakilishi kwa aisle...
ninapoperuzi reel videos nikikutana na video za aina hii kwanza nasonya afu na sweep next kabla hata sijasikia anachotaka sema,
can't waste my time listen shit from bicthes talking through their hat,
kuna wanawake wapambanaji na wanamiliki vyuma namaanisha vyuma vikali huwezi kuta anafanya huu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.