Uko sahihi asee si kwetu wa5 ila mi ndo wa katikati yaani wa3 sifa zote ulizotaja ninazo kasoro ya uchangamfu nyumbani mi ni introvert ila nikiwa mtaani na marafiki tuloshibana nachangamsha kijiwe mpaka wasiponiona wanakuja kuniulizia home,
Hapo ndo bi mkubwa huwa anachoka yaani huyu na ukimya...
Maulidi ni Jumanne kwa hiyo leo ikipita kavu, Jumatatu pia ni siku ya kazi sema kutakuwa na kazi kufika kazini wengi najua watausubiri nyumbani ili waunganishe na Maulidini
Hata mi ntafanya hivyo siwezi kudunda na kikoti cha suti afu tumbo linaunguruma hovyo
Katika biashara sijui na sina hata story zake zaidi ya movie za kimexico ni hii,
kipindi naanza shule dar miaka ya 20s nilikuwa nikiwaona mateja wanavyotema udende na kusinzia dah,
nilimwambia Mungu pombe nakunywa, kush sawa ila kikombe hiki kiniepuke
Kuna mtu kashawahi kupikiwa na kahaba, yaani Cardi b naye ni mwanamke wa kuolewa huo umaarufu wenyewe kaupata kwa umalaya tu na kucheza uchi jukwaani (stripper )
maana mpaka leo hii mi sijawahi kusikia hata kwa bahati mbaya nyimbo yake
Kuna tofauti mkubwa kati ya venom na poison venom inakudhuru ikiingia kwenye damu, ila poison inakudhuru kwa kuila, nyokhana poison ana venom ni mpaka akung'ate ndio utaona madhara
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.