Pole sana dada kwa yaliyokukuta but as far as umemuangalia huyu Mungu wetu atakushangaza am speaking from my experience niliumizwa nikalia sana kumbe Mungu alikuwa ameniandalia mume dhahabu ambayo mpaka sasa bado niko puzzled na huwa sijutii hata kidogo kwa kuumizwa kule mana kulifungua mlango...
Thats devils trick wake up and take serious prayers ndg yangu! Kumbuka kazi kubwa ya Ibilisi ni kuleta destruction hiyo ni njia ya kukamilisha mission yake ambayo itaambatana na kuharibu ndoa yako! Wake up stand firm kutana na watumishi wa Mungu uweze kufanyiwa effective prayers na wewe mwenyewe...
Pole sana kwa yaliyokukuta ndg yangu nakushauri simama jivike moyo mkuu endelea na maisha yako ! Kwa wakati wake Mungu atakupa aliye wako na atasimama na wewe mpaka mwisho! You never know Mungu kakuepusha nini ingia magotini mshukuru Mungu kwa yote kisha mwachie yeye amlete wa kukufaa! We always...
mmmmh this is hectic kumbuka laana inafuata mpaka kizazi cha tatu na cha nne huyo dada anakutafutia laana kwa kizazi chako hafai kuwa mke ana pepo huyo tena anahitaji maombi ya nguvu afanyiwe deliverance!!!!!!!! Du kweli hiki kizazi cha nyoka baba yako????????????????????????+++ May God help!
Mimi sioni kama umri ni tatizo mana mimi mwenyewe nimemzidi umri mume wangu tho ni miezi sita tu but hilo kwetu halikuwa tatizo sana an I can tell you we are enjoying our marriage na tusipokwambia huwezi jua kuwa mi ni mkubwa kwake! Love and age are two diffrent issues and they never collerate...
Dada nakushauri sana usifanye hayo unayotaka kufanya kikubwa muombe sana Mungu akuponye madonda yako kisha muombe akupe yule wa kufanana naye! A vivid example from I have been pasing through the same situation for some years lakini nilimulilia Mungu na amenipa wa kufanna naye na sasa niko ndani...
Unachokifanya ndg ni kosa kubwa mno ndoa haisuruhiswhi hivyo hapo ni shetani tu anacheza na akili zenu ili aimalize ndoa yako vzr kwa sababu mwishoo wa unachokifanya ni kuvunjika kwa hiyo ndoa au kupoteza furaha na amani unayoiona sasa cha msingi acha huo uchafu unaoufanya mrudie mkeo mtafuteni...
Its so sad and painful! Kwa sasa siyo rahis sana kupata kiongozi kama huyo mana wengi wanajua madaraka ni kujipaitia utajiri na siyo kuwatumikia waliowachagua! Eh Mungu isaidie Tanzanie !
The main issue selikari iko busy na chaguzi ndogo ndogo utilizing a lot of resources there sidhani kama kuna mtu anajishughulisha na hizi investment issues in our country! Shame upon us Kenya airways ina trade international wise wakati ya kwetu hata wilaya ya jirani haikupeleki!
Just ignore na songa mbele na maisha yako I am facing the similar case tena mi wa kwangu kanizidi almost twenty years nimeamua kum ignore na kusonga mbele na maisha yangu ! Ukishindana naye unapoteza Muda! hata akuombee mabaya kiasi gani maisha yako yataenda kama Mungu alivyokupangia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.