simwitayusta
Member
- Mar 11, 2010
- 39
- 11
Hii ni aibu kubwa mno kwa taifa ndo mana wazungu wanatudharau kila iitwapo leo!!!!!
Mods wekeni like via mobile.
Anaingia saa saba mchana......akitokea marekani atakuwa akilidwa na maofisa toka umoja wa mataifa....nahisi chama chetu kitaanza kutambulika duniani
jamani nipo hapa uwanja wa ndege kumefurika wanachama wa cuf........waliosema cuf imekufa leo sijui mtajificha wapi watu wamejaa wakimsubili mkubwa na bigwa wa uchumi duniani
Prof. Lipumba mwenyekiti wa kamati ya Maprofesa wa uchumi Duniani. Cha kushangaza nchi anayotoka ina hali mbaya kiuchumi. Tunapata tafsiri gani hapa? 1.Tunaenzi zile methali za kiswahili za "kwenye miti hakuna wajenzi na Nabii hakubaliki kwao"? 2. Hatutaki ushauri wake kwa sababu anatoka chama cha upinzani?
WanaCUF bwana kwa Propaganda. Ooh watu wengi wamejazana Air Port! Picha hakuna! Jifunzuni kutoka kwetu Arumeru jana. Mkutano unaendelea picha zinarushwa wakati huo huo!