gmosha48 na dena amsi you are great thinkers..i salute you. Mie nimeisoma kisha nikaanza kuona hii ni hadithi ya kutunga na isiyoleta sense hata chembe....
ila mtunzi kachukuwa hisia za wadau kirahisi sana bila hata kushitukiwa... nahisi jf imeingiwa na ombwe la great thinkers..ina fastest writers or wengi wetu hatujiongezi kufikiria kwa kina.
ni maoni tuu.
hebu tufanye mfano mtu anamshauri mtu aje atoke na mama yako utajisikiaje? Hebu tuwapeni heshima stahiki mama zetu. Wanahitaji zaidi heshima kuliko dharau ya kiwango hiki.
wakati mwingine ukijua sana unajizuia kujua zaidi,hadithi ya huyu jamaa inafanana na moja ya ukweli kabisa ilitokea na inaendelea kutokea mpaka leo maeneo ya boko ccm,pale kuna mzee mmoja ana mabinti wanne mabinti wake walikuwa hawakubali sana kuolewa yaani hawataki kabisa.watu wakaja kutafuta sababu wakagundua kwamba sababu ni kwamba huyo mzee alikuwa anjipigia binti zake na wakipata waume akawa anawalilia wakatae ili wasimwache mpweke.siri ilifichuka pale alipokuwa akianza michakato ya kumlala mtoto wa mwisho kwani wengine tayari walishaolewa kwa mbinde.ile anataka kumwingilia mtoto akapiga kelele na kufichua ni jinsi gani babake alivyokuwa akimrubuni.na nakuhakikishia kaka mabinti walikuwa haakai kwa waume kidogo kwa baba kidgo kwa baba.mwisho nataka kusema dunia inayo mambo ya ajabu sana kuyaamini.mtoa mada anaweza kuwa katunga lakini sitaki mniaminishe kwamba hiki ni kitu cha kufikirika kwa hukumu zenu za moja kwa moja.Siongezi neno nitaharibu bure.......................
sasa mkuu hebu achana tu na huyo msichana ,kuna mambo tunayavumilia kwenye mahusiano lakini hiuli ni beyond borders i see!waache wapinduane marinda.kuna mabinti wengi tu wazuri wanafaa kuolewa!wala haina haja kubaki na hyo mwanamke,kwa kipi kwanza?
Duh.. Sijui familia yako itakuwa ya aina gani. Mtu mzima una mentality za ovyo hivi.
Kaka haiitaji elimu ya phd kuwa hafai hata ukimuoa utajikuta na wewe unatoka na binti yenu.
Najua unampenda lakini upendo wakweli haufumbii macho jambo lililo ofu, hupaswi kumapa nafasi hata ya kumsikiliza kwani atakufanyia sana utamuonea huruma.