josephmasamaki
Senior Member
- Apr 27, 2011
- 163
- 84
Hakujawa na utafiti wa kutosha na wa muda mrefu kufanya hitimisho wazi kama mionzi kutoka simu za mkononi ni salama, lakini kulikuwa na data za kutosha kuwashawishi WHO juu ya uhusiano uwezekanao.
Simu za mkononi hutumia mionzi isiyo-ionize (non-ionizing radiation), ambayo haiwezi kuleta uharibifu wa DNA kama ambavyo ingeweza kufanya mionzi ambayo ni ionizing. Mionzi ya simu ya mkononi inafanya kazi kama microwaves zenye nguvu ndogo (low power microwaves), lakini hakuna mtu ambaye angependa hata kusogeza uso kwenye hizo low-powered microwave.
Kama WHO inahusisha matumizi ya simu kama "yenye uwezekano wa kusababisha kansa kwa binadamu!!" Hujashtuka bado?! Vifuatazo ni baadhi ya vidokezo vya haraka na vya msingi vya kupunguza exposure.
1- Kuwa wired
Sio bahati mbaya kwamba simu nyingi huja na wired earpiece (yaani sehemu ya kuweka sikio ina waya au metali).
Wired headset moja kwa moja hupunguza exposure ya mionzi kwa sababu simu huwa mbali na mwili. Kila inch simu inapokuwa mbali na mwili hupunguza kiasi cha mionzi unayoweza kunyonya (absorb).
Wired headset bado husambaza mionzi kupitia waya - lakini ni kiwango cha chini sana, kama bado una wasiwasi, unaweza kununua bead ferrite katika maduka ya elektroniki (kama headset yako haina). Hii huunganishwa na waya na inachukua mionzi yoyote inayosafiri kwa njia ya waya, hivyo kupunguza kiasi kinachoingia mwilini mwako.
Kwa lugha nyingine, kuwa wired, maana yake ni penda kutumia wires kama headset (earphone kwa lugha nyingine) kwa maongezi marefu, ili upunguze kiwango cha mionzi kinachoingia mwilini kupitia masikio (kichwa kwa ujumla)
2- Matumizi speakerphone (loudspeaker)
Hii inaweza kuleta usumbufu (kero) kwa watu hasa kama uko sehemu ya mkusanyiko wa watu. Lakini wataalam wanasema kwamba kutumia loudspeaker ni muhimu kwa sababu inaweka simu mbali na ubongo wako. Kumbuka Kila inch simu yako inapokuwa mbali na mwili wako inapunguza mionzi. Kwa mfano, kuweka simu inch mbili mbali na wewe hupunguza mionzi kwa kiasi cha mara nne, Magda Havas , profesa katika Taasisi ya Afya katika Chuo Kikuu cha Trent Ontario, Canada, anathibitisha hilo kwa CNN.
3- Usipende kuvaa Bluetooth earpiece wakati wote
Wireless Bluetooth earpieces zinakuweka kwenye hatari ya mionzi. Hata hivyo, inakuwa ni kiasi kidogo cha mionzi kuliko simu yenyewe.
Tatizo ni kwamba watu wengi huvaa vifaa vyao vya Bluetooth wakati wote. Na hii si nzuri
Kama unatumia kifaa cha Bluetooth wakati wa mazungumzo, badili kutoka sikio moja hadi jingine kila mara ili kuepuka mionzi kwa muda mrefu (long exposure). Kama huongei na simu kitoe kifaa hicho
4- Mionzi ya kuunganisha na minara ya simu (radiation hot spots)
Simu za mkononi hazitoi kiwango sawa cha mionzi wakati wote. Kwa mfano, simu yako hutoa mionzi zaidi wakati kuunganisha na minara ya simu za mkononi (connecting to cell towers).
Lakini simu iliyo kwenye mwendo (kama unapokuwa unazungumza wakati unaendesha gari/uko kwenye gari) daima itakuwa inaungisha na minara mbalimbali - na hii moja kwa moja huongezeka nguvu kwa kiwango cha juu kwa vile simu itakuwa inajaribu kujiunganisha na minara tofauti tofauti inakuwa kwenye coverage wakati huo. Mawimbi dhaifu (weak signal) pia husababisha simu yako kufanya kazi kubwa zaidi kwa kutoa mionzi mbali zaidi. Epuka kutumia simu yako katika elevators, majengo na maeneo ya vijijini. Utafiti unaonyesha simu hutoa mionzi Zaidi wakati wa kutuma (transmitting) kuliko wakati kupokea (receiving).
5- Soma manual
Wengi wetu hupuuza kusoma manuals zinazokuja na simu au vifaa vyetu, Lakini manual za simu huelezea kutokuweka simu karibu na kichwa au hata mfukoni. Apple iPhone 4 inasema ni vizuri kuweka simu mbali na mwili kwa inchi 5/8 wakati inatuma (when transmitting). Na BlackBerry Bold inasema angalau simu iwe inch 0.98 mbali na mwili wako wakati ikiwa katika matumizi.
6- Usizungumze, tuma message
Kama huhitaji kushikilia simu karibu na sikio lako wakati wote, tuma ujumbe wa maandishi (sms) au tuma email au ujumbe wa huduma yako kama una smartphone. Kwa njia hii wewe utaepuka kuweka simu karibu na kichwa kabisa.
Remember the general rule of thumb is that the smarter the phone, the more radiation
Simu za mkononi hutumia mionzi isiyo-ionize (non-ionizing radiation), ambayo haiwezi kuleta uharibifu wa DNA kama ambavyo ingeweza kufanya mionzi ambayo ni ionizing. Mionzi ya simu ya mkononi inafanya kazi kama microwaves zenye nguvu ndogo (low power microwaves), lakini hakuna mtu ambaye angependa hata kusogeza uso kwenye hizo low-powered microwave.
Kama WHO inahusisha matumizi ya simu kama "yenye uwezekano wa kusababisha kansa kwa binadamu!!" Hujashtuka bado?! Vifuatazo ni baadhi ya vidokezo vya haraka na vya msingi vya kupunguza exposure.
1- Kuwa wired
Sio bahati mbaya kwamba simu nyingi huja na wired earpiece (yaani sehemu ya kuweka sikio ina waya au metali).
Wired headset moja kwa moja hupunguza exposure ya mionzi kwa sababu simu huwa mbali na mwili. Kila inch simu inapokuwa mbali na mwili hupunguza kiasi cha mionzi unayoweza kunyonya (absorb).
Wired headset bado husambaza mionzi kupitia waya - lakini ni kiwango cha chini sana, kama bado una wasiwasi, unaweza kununua bead ferrite katika maduka ya elektroniki (kama headset yako haina). Hii huunganishwa na waya na inachukua mionzi yoyote inayosafiri kwa njia ya waya, hivyo kupunguza kiasi kinachoingia mwilini mwako.
Kwa lugha nyingine, kuwa wired, maana yake ni penda kutumia wires kama headset (earphone kwa lugha nyingine) kwa maongezi marefu, ili upunguze kiwango cha mionzi kinachoingia mwilini kupitia masikio (kichwa kwa ujumla)
2- Matumizi speakerphone (loudspeaker)
Hii inaweza kuleta usumbufu (kero) kwa watu hasa kama uko sehemu ya mkusanyiko wa watu. Lakini wataalam wanasema kwamba kutumia loudspeaker ni muhimu kwa sababu inaweka simu mbali na ubongo wako. Kumbuka Kila inch simu yako inapokuwa mbali na mwili wako inapunguza mionzi. Kwa mfano, kuweka simu inch mbili mbali na wewe hupunguza mionzi kwa kiasi cha mara nne, Magda Havas , profesa katika Taasisi ya Afya katika Chuo Kikuu cha Trent Ontario, Canada, anathibitisha hilo kwa CNN.
3- Usipende kuvaa Bluetooth earpiece wakati wote
Wireless Bluetooth earpieces zinakuweka kwenye hatari ya mionzi. Hata hivyo, inakuwa ni kiasi kidogo cha mionzi kuliko simu yenyewe.
Tatizo ni kwamba watu wengi huvaa vifaa vyao vya Bluetooth wakati wote. Na hii si nzuri
Kama unatumia kifaa cha Bluetooth wakati wa mazungumzo, badili kutoka sikio moja hadi jingine kila mara ili kuepuka mionzi kwa muda mrefu (long exposure). Kama huongei na simu kitoe kifaa hicho
4- Mionzi ya kuunganisha na minara ya simu (radiation hot spots)
Simu za mkononi hazitoi kiwango sawa cha mionzi wakati wote. Kwa mfano, simu yako hutoa mionzi zaidi wakati kuunganisha na minara ya simu za mkononi (connecting to cell towers).
Lakini simu iliyo kwenye mwendo (kama unapokuwa unazungumza wakati unaendesha gari/uko kwenye gari) daima itakuwa inaungisha na minara mbalimbali - na hii moja kwa moja huongezeka nguvu kwa kiwango cha juu kwa vile simu itakuwa inajaribu kujiunganisha na minara tofauti tofauti inakuwa kwenye coverage wakati huo. Mawimbi dhaifu (weak signal) pia husababisha simu yako kufanya kazi kubwa zaidi kwa kutoa mionzi mbali zaidi. Epuka kutumia simu yako katika elevators, majengo na maeneo ya vijijini. Utafiti unaonyesha simu hutoa mionzi Zaidi wakati wa kutuma (transmitting) kuliko wakati kupokea (receiving).
5- Soma manual
Wengi wetu hupuuza kusoma manuals zinazokuja na simu au vifaa vyetu, Lakini manual za simu huelezea kutokuweka simu karibu na kichwa au hata mfukoni. Apple iPhone 4 inasema ni vizuri kuweka simu mbali na mwili kwa inchi 5/8 wakati inatuma (when transmitting). Na BlackBerry Bold inasema angalau simu iwe inch 0.98 mbali na mwili wako wakati ikiwa katika matumizi.
6- Usizungumze, tuma message
Kama huhitaji kushikilia simu karibu na sikio lako wakati wote, tuma ujumbe wa maandishi (sms) au tuma email au ujumbe wa huduma yako kama una smartphone. Kwa njia hii wewe utaepuka kuweka simu karibu na kichwa kabisa.
Remember the general rule of thumb is that the smarter the phone, the more radiation