Chokochoko
JF-Expert Member
- Oct 15, 2011
- 438
- 183
kwema ammu?
Naombeni ushauri wenu wenye hekima, inawezekana vipi ndugu mliozaliwa tumbo moja tena amekupita umri
karibu miaka 10 yaani kawahi kuliöna jua kabla yangu leo hii nimepata mitihani kidogo0
kwenye maisha amekua mstari wa mbele kufurahi na kuniongelea vibaya kila mahali kwa kashafa kibao
na hatuna ugomvi wowote kati yetu ila ananiombea mabaya yazidi kunipata zaidi
kiasi kwamba hata watu wanaowaeleza wanajisikia vibaya wanakuja kuniambia
pamoja na hayo nimekua kimya ila amekua akitafuta kila namna ya kuniudhi nimekua kimya ili kumkwepa
na kuzuia shari nakumstahi nimejaribu kujiweka naye mbaali ila bado ananiombea mabaya nanipate sijuhi ni0
kwanini kila nikijika kumsamehe hili nasikia kaniongelea lingine kubwa zaidi na lauongo, ili anichafue
tuu, kuangua kwenye maisha ni swala la kawaida linaweza kumpata mtu yeyote ndivyo ninavyoamini.
Mpaka hapal namshtukuru mungu kwa maneno yote aliyoongea nimemsamehe ila shiitaji niitwe ndugu yake
milele najisikia kujitenga kuishi kivyangu kaaniaribia kwakila ndugu yangu mpaka kwa mama ya ngu mzazi sija
mwelewa lengo lake ni nini labda anataka familia initenge nimeöna bora nijitenge mim4
kama matatizo yanaua basi nikafie mbali, maana navyoelewa mimi shida huja na hupita ila sijajua kwangu
ndio zitakama milele au vipi, nimeandika machungu kweli naombe ushauri wenu
0
0
kari
Naombeni ushauri wenu wenye hekima, inawezekana vipi ndugu mliozaliwa tumbo moja tena amekupita umri
karibu miaka 10 yaani kawahi kuliöna jua kabla yangu leo hii nimepata mitihani kidogo0
kwenye maisha amekua mstari wa mbele kufurahi na kuniongelea vibaya kila mahali kwa kashafa kibao
na hatuna ugomvi wowote kati yetu ila ananiombea mabaya yazidi kunipata zaidi
kiasi kwamba hata watu wanaowaeleza wanajisikia vibaya wanakuja kuniambia
pamoja na hayo nimekua kimya ila amekua akitafuta kila namna ya kuniudhi nimekua kimya ili kumkwepa
na kuzuia shari nakumstahi nimejaribu kujiweka naye mbaali ila bado ananiombea mabaya nanipate sijuhi ni0
kwanini kila nikijika kumsamehe hili nasikia kaniongelea lingine kubwa zaidi na lauongo, ili anichafue
tuu, kuangua kwenye maisha ni swala la kawaida linaweza kumpata mtu yeyote ndivyo ninavyoamini.
Mpaka hapal namshtukuru mungu kwa maneno yote aliyoongea nimemsamehe ila shiitaji niitwe ndugu yake
milele najisikia kujitenga kuishi kivyangu kaaniaribia kwakila ndugu yangu mpaka kwa mama ya ngu mzazi sija
mwelewa lengo lake ni nini labda anataka familia initenge nimeöna bora nijitenge mim4
kama matatizo yanaua basi nikafie mbali, maana navyoelewa mimi shida huja na hupita ila sijajua kwangu
ndio zitakama milele au vipi, nimeandika machungu kweli naombe ushauri wenu
0
0
kari