Wanawake wote niliokwisha wajua, in one way or another, wanatumia s.ex kama negotiation tool, hasa mnapokwaruzana. Hata humu ndani ukifuatilia mabandiko mbali mbali, utaona wanawake wengi wakikili kuwa mme akimboa haoni ndani!
Matokeo: Kubakwa na waume zao, kupigwa, infidelity, ndoa kuvunjika...