Tanzania Imefikaje Hapa? Kuna makosa sisi kama Wananchi tumefanya kuweka watu kama hawa kuongoza Taifa letu. Kwanini tunaendelea kukubali sauti na maelekezo ya Chama kimoja wakati mfumo wa Siasa Tanzania ni Mfumo wa vyama vingi? Kutokana na Vitendo vya Kamati kuu ya CCM, Taifa zima la Tanzania lisikilize sauti ya hawa wala rushwa na wezi wa Taifa letu? Wananchi tumekataa na hakuna kusikiliza maamuzi ya CCM na Kamati zao.
AHADI ZA WANACHAMA WA CHAMA CHA MAPINDUZI
(1) Binadamu wote ni ndugu zangu na Afrika ni moja (hii ahadi ni sawa na vitendo vya Mugabe kwa wananchi wa Zimbabwe)
(2) Nitaitumikia nchi yangu na watu wake wote (kama ni kweli Dowans na kuiba kura ni kumtumikia Nani? Kama sio Rostam na Mafisadi?)
(3) Nitajitolera nafsi yangu kuondosha umaskini, ujinga, magonjwa na dhuluma (kuna kitu CCM wamefanikiwa? Kipimo ni huduma za mahospitali muhimbili na hali za mashule)
(4) Rushwa ni adui wa haki, sitapokea wala kutoa rushwa (CCM imeshinda kwenye rushwa? CCM ndio wala rushwa Tanzania na matunda ni utajiri wao na umaskini wa Watanzania?)
(5) Cheo ni dhamana, sitatumia cheo changu wala cha mtu mwingine kwa faida yangu (Kikwete na CCM vyeo ni dhamana na Faida kwani tunaona jinsi gani wanatumia Ofisi ya Raisi?)
(6) Nitajielimisha kwa kadri ya uwezo wangu na kuitumia elimu yangu kwa faida ya wote (elimi ipi CCM wanatumia kulitumikia Taifa? Elimu katika maamuzi ya kiuchumi Dowans na kuhesabu kura?)
(7) Nitashjirikiana na wenzangu wote kujenga nchi yetu (CCM haishirikiani na watanzania wowote wale kujenga Taifa ni Ubinafsi mtupu na cover up after mess)
(8) Nitasema kweli daima, fitina kwangu mwiko (ukweli gani CCM umesema mpaka sasa? Dowans, EPA, au Richmond?)
(9) Nitakuwa mwanachama mwaminifu wa CCM na raia mwema wa Tanzania na Afrika (CCM wanafanana na sera za Mugabe, Ben Ali, Mubarak, Museven, Kagame, Kibaki, Gabgo)
AHADI ZA WANACHAMA WA CHAMA CHA MAPINDUZI
(1) Binadamu wote ni ndugu zangu na Afrika ni moja (hii ahadi ni sawa na vitendo vya Mugabe kwa wananchi wa Zimbabwe)
(2) Nitaitumikia nchi yangu na watu wake wote (kama ni kweli Dowans na kuiba kura ni kumtumikia Nani? Kama sio Rostam na Mafisadi?)
(3) Nitajitolera nafsi yangu kuondosha umaskini, ujinga, magonjwa na dhuluma (kuna kitu CCM wamefanikiwa? Kipimo ni huduma za mahospitali muhimbili na hali za mashule)
(4) Rushwa ni adui wa haki, sitapokea wala kutoa rushwa (CCM imeshinda kwenye rushwa? CCM ndio wala rushwa Tanzania na matunda ni utajiri wao na umaskini wa Watanzania?)
(5) Cheo ni dhamana, sitatumia cheo changu wala cha mtu mwingine kwa faida yangu (Kikwete na CCM vyeo ni dhamana na Faida kwani tunaona jinsi gani wanatumia Ofisi ya Raisi?)
(6) Nitajielimisha kwa kadri ya uwezo wangu na kuitumia elimu yangu kwa faida ya wote (elimi ipi CCM wanatumia kulitumikia Taifa? Elimu katika maamuzi ya kiuchumi Dowans na kuhesabu kura?)
(7) Nitashjirikiana na wenzangu wote kujenga nchi yetu (CCM haishirikiani na watanzania wowote wale kujenga Taifa ni Ubinafsi mtupu na cover up after mess)
(8) Nitasema kweli daima, fitina kwangu mwiko (ukweli gani CCM umesema mpaka sasa? Dowans, EPA, au Richmond?)
(9) Nitakuwa mwanachama mwaminifu wa CCM na raia mwema wa Tanzania na Afrika (CCM wanafanana na sera za Mugabe, Ben Ali, Mubarak, Museven, Kagame, Kibaki, Gabgo)