ram
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 9,252
- 8,341
Pole kakangu, ndio mambo ya ndoa hayo ila wanawake wengi wakishaingia kwenye ndoa huwa wanajisahau sana.
Ushauri wangu kwako, kwanza usimpe tena hela ya mafuta ya gari, hawezi kuweka mafuta kwenye gari kwa pesa yake apaki gari.
Pili anzisha utaratibu wa ibada pamoja kabla ya kulala kama anamuogpa Mungu lazima atashiriki ibada, kuna masomo mazuri sana kwenye Biblia yanayohusu ndoa, soma kitabu cha Methali, Waefeso, Wakoritho n.k (kama ni Wakristo lakini)na asubuhi kabla hamjatoka fanyeni sala ya pamoja.
Tatu anzisha utaratibu wa kutoka nae out, manenda matembezi mkiwa huko muanzishie story jinsi mlivyokuwa mnaishi mwanzo kwa amani na upendo na umweleze madadiliko yake at the end muombe abadilike. Yakishindikana haya, anza na wasimamizi wenu wa ndoa washirikishe nadhani wanaweza kuplay part kubwa ya kumbadilisha,wasimamizi wakishindwa basi ongea na wazazi, naamini hakuna kinachoshindikana atabadilika tu.
Na umatangulize Mungu katika kila hatua hope utarudi kwenye furaha yako ya mwanzo.
Ushauri wangu kwako, kwanza usimpe tena hela ya mafuta ya gari, hawezi kuweka mafuta kwenye gari kwa pesa yake apaki gari.
Pili anzisha utaratibu wa ibada pamoja kabla ya kulala kama anamuogpa Mungu lazima atashiriki ibada, kuna masomo mazuri sana kwenye Biblia yanayohusu ndoa, soma kitabu cha Methali, Waefeso, Wakoritho n.k (kama ni Wakristo lakini)na asubuhi kabla hamjatoka fanyeni sala ya pamoja.
Tatu anzisha utaratibu wa kutoka nae out, manenda matembezi mkiwa huko muanzishie story jinsi mlivyokuwa mnaishi mwanzo kwa amani na upendo na umweleze madadiliko yake at the end muombe abadilike. Yakishindikana haya, anza na wasimamizi wenu wa ndoa washirikishe nadhani wanaweza kuplay part kubwa ya kumbadilisha,wasimamizi wakishindwa basi ongea na wazazi, naamini hakuna kinachoshindikana atabadilika tu.
Na umatangulize Mungu katika kila hatua hope utarudi kwenye furaha yako ya mwanzo.