...by then wadhungu watakua washarudi na kusettle Africa kama awali...ii misaada ya mabilioni wanayotupa leo ni advance tu za ununuzi wa nchi ze coz hatunauezo wa kuzirudisha, pia cku zinavosonga tunazidi kuwalilia misaada, ofcourse teknolojia itakua juu sana (no doubt bout teleportation) ila...
damn! Jamaa ana moyo kweli, kutoa mali ya urithi kama zawadi yataka moyo asee!...na mkuu wa Kaya yetu mbona kama katutosa wanakaya?! Hapa tuna ng'ombe, kwanini asingewanunua apa na kutubusti wanakaya? anyways thats how it goes
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.